• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ushetu District Council
Ushetu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Maadili ya msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Strategic Plan
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Biashara na Fedha
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Takwimu,Mipango na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Land and Livestocks
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknoloji Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa ndani
    • Muundo wa halmashauri
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma
    • Bima ya Afya
    • Mitambo ya kutengenezea Barabara
    • Loan Services
    • Huduma za Afya
    • Education Services
    • Water Services
    • Huduma za Kilimo
    • Livestock Keeping Services
    • Huduma za Uvuvi
    • Human Resources Services
    • Huduma za Leseni za Biashara
    • Land Services
    • Forest Services
  • Madiwani
  • Miradi
    • Uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za maombi
    • Zabuni
    • Miongozo
    • Hotuba
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Uhifadhi wa picha
    • Video
    • Habari
    • Matukio

ICT


Hali ya Mawasiliano katika Halmashauri

    Mawasiliano ya Intaneti yanapatikana kwa njia ya WAN (Wide Area Network) na WIFE (Wireless Fidelity) ambap Teknolojia inayotumika ni VSAT (A very small aperture terminal)


Mifumo ya Kompyuta iliyopo:

  •     Epicor (IFMIS))-- Mfumo huu hutumika katika kuandaa na kutoa malipo. Mfumo huu umesaidia sana na umepunguza hoja za ukaguzi kwa kiwango kikubwa. .
  •     Lawson-Huu ni mfumo unaotumika katika kutunza  taarifa za Kiutumishi.  Kupitia Mfumo huu serikali imeweza kupa taarifa saihi za Watumishi wake, Upandishwaji Madaraja, Kuajiri Watumishi wapya  , kwa kutumia mfumo huu serikali imeweza kudhibiti  tatizo la mishahara hewa, Watumishi hewa,  kuchelewa kwa stahili za watumishi n.k.
  •     LGRCIS: Huu ni Mfumo wa Kudhibiti Mapato ya ndani. Kupitia Mfumo huu Halmashauri zimeweza kudhibiti Mapato yaliyokua yakipotea kupia Vitabu vya Mikononi. Mfumo huu umeunganishwa na Benki mfano NMB ambapo umepunguza Wahasibu kukaa na pesa kwani Mteja huenda kulipa Benki moja kwa moja kwa  kutengenezewa Bili ya Malipo.
  •     BEMIS: Huu ni mfumo wa utunzaji taarifa Elimu na Vifaa vya Elimu za Msingi na sekondari
  •     PreM: Huu ni Mfumo unaotumika kusajili Wanafunzi wa shule za Msingi. Kupitia Mfumo huu Kila Mwanafunzi atakua na Namba yake ya kudumu iliyopo katikaTanzu data ya Baraza la Mitihani la Taifa.
  •     GoTHoMIS Huu ni Mfumo wa Utunzaji taarifa za Wagonjwa, Madawa na Mapato ya Hospitali. Mfumo huu unapaswa kufungwa katika vituo vya Afya vyote ili kudhibiti Mapato.
  •     PLANREP: Huu ni Mfumo unaotumika kutayarishaji wa Bajeti serikalini. Maboresho yanafanyika katika Mfumo huu ambapo utakua unatengenza taarifa kwa njia ya Mtandao (Web based)

    Mifumo Mingine inayotumika Katika ngazi ya Halmashauri ni Mfumo wa taarifa za UKIMWI (TOMSHA), Mfumo wa taarifa za TASAF, Mfumo wa taarifa za Mfuko wa Afya ya jamii (CHF)


Majukumu ya Kitengo cha TEHAMA:

1.  Kusimamia utekelezaji wa sera ya Serikali Mtandao na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano katika Halmashauri.

2.  Kuhakikisha vifaa vya kompyuta na mtandao wa mawasiliano vinakuwa katika hali nzuri.

3.    Kusaidia na kutoa huduma za manunuzi ya vifaa vya kompyuta na Mtandao wa Mawasiliano katika Halmashauri.

4.  Kuanzisha na kusimamia matumizi ya mawasiliano ya baruapepe, mtandao wa ndani na nje ya Halmashauri

6.     Kuratibu na kusimamia uanzishwaji wa mifumo ya kompyuta na benki za takwimu katika Halmashauri

7.     Kuratibu na kusimamia uendelezaji wa watumishi katika matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA).

8.     Kufanya tafiti zinazohusiana na utumiaji wa teknolojia ya mawasiliano kama chombo cha kuimarisha utendaji, utoaji wa taarifa             muhimu na huduma kwa wananchi na wadau wote.

9.    Kutoa huduma za kitaalamu katika matumizi ya Teknolojia ya Habari kwa Halmashauri.

10.    Kutekeleza sera ya Serikali ya mtandao (e-government)

11.    Kuandaa na kuratibu utekelezwaji wa mfumo wa mawasiliano kwa kutumia kompyuta (MIS).

10.    Kuratibu na kutoa ushauri wa kitaalamu katika maununuzi ya vifaa vya teknolojia ya habari.

11.    Kuhakikisha kuwa vifaa vya tekolojia ya habari vinatunzwa kwa matumizi endelevu.

12.    Kuanzisha na kuratibu matumizi ya mfumo wa mawasiliano ya barua pepe ndani ya Halmashauri na mifumo ya LAN na WAN.

13.    Kufanya utafiti na kushauri maeneo ya kutumia Teknolojia ya Habari ili kuboresha ufanisi.

14.    Kutoa huduma za kitaalamu kuhusu habari, Elimu na Mawasiliano kati ya Halmashauri na Umma pamoja na vyombo vya habari.

15.    Kuandaa na kusambaza vipeperushi, majarida kwa lengo la kuelimisha umma sera na maboresho mbalimbali yanaotekelezwa na Halmashauri.

16.    Kuratibu mikutano na waandishi wa habari.

17.    Kutoa habari kuhusu sera, programu na shughuli mbalimbali za Halmashauri.

18.    Kushauri Idara, vitengo na idara zinazojitegemea katika kuandaa taarifa mbalimbali kwa ajili ya umma.











Matangazo

  • Matokeo ya usajili wa Madereva. October 03, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • RC MACHA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MAENDELEO YA MIRADI YA MWENGE HALMASHAURI YA WILAYA YA USHETU 2024/2025

    May 20, 2025
  • USHETU KUANZA KUTEKELEZA MRADI WA REA NGAZI YA VITONGOJI 151.

    May 08, 2025
  • Habari Picha: Watumishi wa Halmashauri ya Ushetu wakumbushwa kuhusu Maadili katika utumishi wa Umma

    May 07, 2025
  • Tume ya Maadili kwa watumishi wa Umma wafanya kikao na watumishi wa makao makuu Halmashauri ya Ushetu

    May 05, 2025
  • Angalia yote

Video

Kilimo cha Korosho katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
Video

Viunganishi vya haraka

  • Kanuni za Utumishi wa Umma
  • Ufafanuzi wa Serikali juu ya Kukosekana kwa Mawasiliano ya simu katika Halmashauri
  • Facebook
  • Ramani ya Halmashauri

Viunganishi Mfanano

  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Ajira serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Halmashauri

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

    Anuani: S. L. P 50 Kahama

    Simu: 0759888848

    Simu ya kiganjani: 0759888848

    Barua pepe: ded@ushetudc.go.tz Tovuti www.ushetudc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati Miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu . Haki zote zimehifadhiwa