• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ushetu District Council
Ushetu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Maadili ya msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Strategic Plan
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Biashara na Fedha
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Takwimu,Mipango na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Land and Livestocks
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknoloji Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa ndani
    • Muundo wa halmashauri
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma
    • Bima ya Afya
    • Mitambo ya kutengenezea Barabara
    • Loan Services
    • Huduma za Afya
    • Education Services
    • Water Services
    • Huduma za Kilimo
    • Livestock Keeping Services
    • Huduma za Uvuvi
    • Human Resources Services
    • Huduma za Leseni za Biashara
    • Land Services
    • Forest Services
  • Madiwani
  • Miradi
    • Uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za maombi
    • Zabuni
    • Miongozo
    • Hotuba
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Uhifadhi wa picha
    • Video
    • Habari
    • Matukio

Agriculture and Cooperative

Asilimia 85 ya wakazi wa Halmashauri ya Ushetu wanategemea kilimo. Eneo linalofaa kwa shughuli za kilimo na ufugaji ni kilomita za mraba 395,011. Mazao makuu ya chakula yanayolimwa ni Mahindi, Mpunga, Viazi vitamu, Muhogo, Mtama,na jamii ya Mikunde.  Mazao ya biashara ni Pamba, Tumbaku, Karanga na Alizeti.

Jina: Anna Ngongi

Cheo: Mkuu wa Idara ya Kilimo na Ushirika

Mawasiliano:+255754442459


  SHUGHULI ZINAZOFANYWA NA IDARA:

• Kuelimisha wakulima mbinu bora za kilimo cha mazao ya chakula na biashara. Elimu itolewayo ni kanuni za kilimo bora, matumizi sahihi ya zana bora katika kuboresha kilimo kwa lengo la kuongeza uzalishaji, matumizi sahihi ya mbolea na viuatilifu, hifadhi bora ya chakula.

•    Idara inaratibu na kufuatilia upatikanaji na usambazaji wa pembejeo za kilimo kwa kushirikiana na wadau mbalimbali kama ;               makampuni ya mbegu na viuatilifu, bodi za mazao, mawakala na wasambazaji.

•    Kwa kushirikiana na vituo vya utafiti vya Ukiriguru na Naliendele na makampuni ya mbegu ya ASA, IFFA SEED, Meru –agro-tours & consultants Co.ltd, idara inaendesha mashamba ya majaribio ya uzalishaji wa mazao ya pamba na mbegu bora ya karanga na shamba darasa katika zao la mahindi na pamba.

•    Kutoa taarifa za takwimu ya kilimo kitaifa kwa mtandao uliounganishwa ujulikanao kama ‘Agricultural Routine Data System’          (ARDS).  

•    Kuanzisha, kusimamia na kuendesha vituo vya mafunzo ya wakulima na wafugaji vya kata (Ward Resource Centers)

•    Kutoa taarifa za maendeleo ya kilimo na hali ya chakula kila wakati ngazi ya Wilaya,Mkoa na Kitaifa

•    Kushirikiana na wadau mbalimbali toka sekta binafsi kama HALVETAS na Red Cross.

•    Kuhamasisha uanzishwaji wa vyama vya ushirika, kusimamamia uendeshaji wa vyama vya ushirika, kukagua na kutoa taarifa katika vyama, kusimamia mikutano mikuu ya vyama na kusaidia kutatua migogoro ya vyama kwa kuzingatia kanuni na sheria ya vyama vya ushirika.




Matangazo

  • Matokeo ya usajili wa Madereva. October 03, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • RC MACHA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MAENDELEO YA MIRADI YA MWENGE HALMASHAURI YA WILAYA YA USHETU 2024/2025

    May 20, 2025
  • USHETU KUANZA KUTEKELEZA MRADI WA REA NGAZI YA VITONGOJI 151.

    May 08, 2025
  • Habari Picha: Watumishi wa Halmashauri ya Ushetu wakumbushwa kuhusu Maadili katika utumishi wa Umma

    May 07, 2025
  • Tume ya Maadili kwa watumishi wa Umma wafanya kikao na watumishi wa makao makuu Halmashauri ya Ushetu

    May 05, 2025
  • Angalia yote

Video

Kilimo cha Korosho katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
Video

Viunganishi vya haraka

  • Kanuni za Utumishi wa Umma
  • Ufafanuzi wa Serikali juu ya Kukosekana kwa Mawasiliano ya simu katika Halmashauri
  • Facebook
  • Ramani ya Halmashauri

Viunganishi Mfanano

  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Ajira serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Halmashauri

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

    Anuani: S. L. P 50 Kahama

    Simu: 0759888848

    Simu ya kiganjani: 0759888848

    Barua pepe: ded@ushetudc.go.tz Tovuti www.ushetudc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati Miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu . Haki zote zimehifadhiwa