• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ushetu District Council
Ushetu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Maadili ya msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Strategic Plan
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Biashara na Fedha
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Takwimu,Mipango na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Land and Livestocks
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknoloji Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa ndani
    • Muundo wa halmashauri
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma
    • Bima ya Afya
    • Mitambo ya kutengenezea Barabara
    • Loan Services
    • Huduma za Afya
    • Education Services
    • Water Services
    • Huduma za Kilimo
    • Livestock Keeping Services
    • Huduma za Uvuvi
    • Human Resources Services
    • Huduma za Leseni za Biashara
    • Land Services
    • Forest Services
  • Madiwani
  • Miradi
    • Uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za maombi
    • Zabuni
    • Miongozo
    • Hotuba
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Uhifadhi wa picha
    • Video
    • Habari
    • Matukio

Human Resources

Idara ya Utawala na Rasilimali Watu ni mhimili wa Uendeshaji wa shughuli za Taasisi hii za kila siku.  Katika kutekeleza wajibu wake Idara inamsaidia Mkurugenzi Mtendai (W) wa Halmashauri. Aidha, Idara hii ina jukumu la kuhakikisha kuwa halmashauri  ina nyenzo za kutosha za kufanyia kazi, nyenzo hizo ni pamoja na rasilimali watu, fedha, majengo, usafiri, samani, n.k.  Idara ya Utawala na Rasilimali Watu pia inao wajibu wa kuwezesha Idara zingine “Line Departments” kutenda kazi zake.  Pia ina jukumu la kusimamia utendaji kazi katika Halmashauri  kwa kuhakikisha kuwa malengo makuu ya Halmashauri yanafikiwa.

Idara ya Utawala na Raasilimali watu imegawanyhika katika sehemu kuuu mbili:-

MAJUKUMU YA IDARA YA UTAWALA

1.    Kuhakikisha watumishi wanafuata Sheria na Kanuni za Utumishi wa Umma;

2.    Kutafsiri Sheria na Kanuni za Utendaji kazi kwa watumishi katika eneo la kazi;

3.    Kuhakikisha Halmashuri ina vitendea kazi vya kutosha;

4.    Kusimamia utendaji wa Masjijala za Halmashuri;

5.    Kushughulikia masuala ya Itifaki;

6.    Kusimamia Usafiri, Ulinzi na Usalama wa Jengo;

7.    Kusimamia matengenenzo ya vitendea kazi vya Halmashuri, Majengo na bustani;

8.    Kusimamia ustawi wa wafanyakazi ikiwa ni pamoja na Afya, Usalama, Michezo na Utamaduni;

9.    Kusimamia Maadili ya Utumishi wa Umma pamoja na kutoa elimu ya kuzuia na kupambana na Rushwa;

10.    Kusimamia masuala Mtambuka kama Jinsia, Ukimwi (HIV/AIDS) na kuwa mwakilishii wa masuala Mtambuka Halmashurini;

11.    Kuratibu masuala ya Sekta binafsi katika Halmashuri;

12.    Kuratibu Utekelezaji wa Mikakati ya Kuboresha Utendaji Halmashurini;

13.    Kushauri  juu ya mbinu za kuongeza Ufanisi Halmashurini;

14.    Kuratibu Utekelezaji wa Mkataba wa Huduma kwa Mteja;

15.    Kuratibu ajira, kuthibitisha kazini, kupandisha vyeo na uhamisho wa watumishi;

16.    Kuratibu na kuandaa Mpango wa Mafunzo wa watumishi wa Halmashuri;

17.    Kuandaa Mafunzo ya awali ya watumishi;

18.    Kuandaa Mpango wa Rasilimali Watu wa Halmashuri na mahitaji ya Wataalamu wa Halmashuri;

19.    Usimamizi na uendesheaji wa masuala ya Mishahara;

20.    Uratibu wa Mkakati wa Upimaji Utendaji Kazi (OPRAS);

21.    Kushughulikia masuala ya likizo za wafanyakazi;

22.    Kushughulikia stahili mbalimbali za watumishi;

23.    Kushughulikia stahili za watumishi wanapostaafu kazi ama kuacha kazi.




Matangazo

  • Matokeo ya usajili wa Madereva. October 03, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • RC MACHA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MAENDELEO YA MIRADI YA MWENGE HALMASHAURI YA WILAYA YA USHETU 2024/2025

    May 20, 2025
  • USHETU KUANZA KUTEKELEZA MRADI WA REA NGAZI YA VITONGOJI 151.

    May 08, 2025
  • Habari Picha: Watumishi wa Halmashauri ya Ushetu wakumbushwa kuhusu Maadili katika utumishi wa Umma

    May 07, 2025
  • Tume ya Maadili kwa watumishi wa Umma wafanya kikao na watumishi wa makao makuu Halmashauri ya Ushetu

    May 05, 2025
  • Angalia yote

Video

Kilimo cha Korosho katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
Video

Viunganishi vya haraka

  • Kanuni za Utumishi wa Umma
  • Ufafanuzi wa Serikali juu ya Kukosekana kwa Mawasiliano ya simu katika Halmashauri
  • Facebook
  • Ramani ya Halmashauri

Viunganishi Mfanano

  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Ajira serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Halmashauri

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

    Anuani: S. L. P 50 Kahama

    Simu: 0759888848

    Simu ya kiganjani: 0759888848

    Barua pepe: ded@ushetudc.go.tz Tovuti www.ushetudc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati Miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu . Haki zote zimehifadhiwa