• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ushetu District Council
Ushetu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Maadili ya msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Strategic Plan
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Biashara na Fedha
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Takwimu,Mipango na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Land and Livestocks
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknoloji Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa ndani
    • Muundo wa halmashauri
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma
    • Bima ya Afya
    • Mitambo ya kutengenezea Barabara
    • Loan Services
    • Huduma za Afya
    • Education Services
    • Water Services
    • Huduma za Kilimo
    • Livestock Keeping Services
    • Huduma za Uvuvi
    • Human Resources Services
    • Huduma za Leseni za Biashara
    • Land Services
    • Forest Services
  • Madiwani
  • Miradi
    • Uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za maombi
    • Zabuni
    • Miongozo
    • Hotuba
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Uhifadhi wa picha
    • Video
    • Habari
    • Matukio

WASIMAMIZI MAGETI YA KUKUSANYA MAPATO USHETU WAPEWA MOTISHA

Ilipo tumwa: September 10th, 2025




  • September 10, 2025
  • 10:37 am



Mkurugenzi wa Halmashauri ya Ushetu mkoani Shinyanga, Hadija Kabojela ametoa motishi ya fedha kiasi cha Sh. 500,000 kwa wakusanyaji sita bora wa mapato waliokusanya zaidi ya Sh.milioni 433.736 kwa mwaka wa fedha 2024/2025.

Kabojela ametoa motisha hiyo wakati akizungumza na wakusanyaji sita kutoka mageti ya makusanyo ya Igunda, Mpunze, Kisuke na Machimbo ya mwabomba hafla iliyofanyika katika Ofisi yake.

Amewataka waendelee kuwa wadilifu na waaminifu na kusisitiza kuwa mapato hayo ndio chachu ya maendeleo ya Halmashauri na wananchi wake hivyo hawapaswi kujihusisha katika udokozi na kusababisha miradi ya maendeleo kutokamilika kwa wakati.

https://jambofm.co.tz/wp-content/uploads/2025/09/Screenshot_20250910_133229_Gmail-300x195.jpg 300w" sizes="(max-width: 720px) 100vw, 720px" >

“Niwape hongera sana kwa uchapa kazi Hodari Pamoja na uaminifu mlionao,Endeleeni na moyo huo na msijihusishe na udokozi wa fedha za umma kwani fedha hizi ndizo zinazotekeleza miradi ya maendeleo ya wananchi katika halmashauri yetu,” amesema Kabojela.

Kabojela pia amewataja  waliopata motisha ya fedha hiyo kuwa ni pamoja na Mashaka Jifunge wa geti la Igunda amekusanya kiasi cha Sh.milioni 122,776,300, Kashindye Ngele wa geti la Mpunze amekusanya Sh.milioni 102,858,800 na Ambroz John geti la Kisuke amekusanya Sh.milioni 70,152, 700.

“Hakika wamefanya kazi na wanastahili pongezi hii,Yupo Mashaka Jifunge wa geti la Igunda,Kashindye Ngele wa geti la Mpunze,Ambroz John wa geti la kisuke hawa tunawapa motisha ya shilingi laki tano.” Ameongeza Kabojela.

https://jambofm.co.tz/wp-content/uploads/2025/09/Screenshot_20250910_133103_Gmail-300x188.jpg 300w" sizes="(max-width: 720px) 100vw, 720px" >

Waliopata motisha ya shilingi laki mbili ni pamoja na Mashaka Tangu wa geti la mpunze amekusanya Sh.milioni 54,443,000, Theonas Banyenda(eneo la machimba ya mwabomba amekusanya Sh.milioni 43,055,000 pamoja na Paul Ngusa geti la Kisuke amekusanya 40,451,000.

“Wanaopata motisha ya shilingi laki mbili ni Mashaka Tungu geti la Mpunze,Theonas Banyenda geti la mahimbo Mwabomba na Paul Ngusa geti la Kisuke,hakika wamefanya vizuri nao pia wanastahili Zawadi.” Amesisitiza.

Kabojela amesema, zawadi hizo zitachochea ari ya utendaji wa kazi katika mageti ya kukusanya mapato na wale ambao hawakupata basi waendelee kukusanya pasi kutojihusisha na vitendo vya odokoaji ili mwaka huu waweze kupata nao motisha kama wenzao.

https://jambofm.co.tz/wp-content/uploads/2025/09/Screenshot_20250910_133203_Gmail-300x173.jpg 300w" sizes="(max-width: 720px) 100vw, 720px" >

Kwa upande wao Paul Ngusa na Mashaka Jifunge wamemshukuru mkurugenzi wa halmashauri hiyo kwa kuwapa motisha hizo na wamehaidi kuwa waaminifu ili kuhakikisha mapato hayapotei katika halmashauri hiyo.

“Tunamshukuru sana Mkurugenzi Bi.Kabojela kwa kuweza kutupatia motisha hizi,hakika tutaendelea kuwa waaminifu ili kuhakikisha mapato ya halmashauri hayapotei,” Wamesema.


Matangazo

  • Matokeo ya usajili wa Madereva. October 03, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • WASIMAMIZI MAGETI YA KUKUSANYA MAPATO USHETU WAPEWA MOTISHA

    September 10, 2025
  • JUMLA YA MIFUGO WAPATAO 298,024 KUPATIWA CHANJO YA HOMA YA MAPAFU, USHETU.

    September 02, 2025
  • TAKUKURU – KAHAMA: USHIRIKISHWAJI WA MAKUNDI MBALIMBALI

    August 21, 2025
  • TAKUKURU Wilaya ya Kahama watoa elimu ya Mafunzo juu ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa kwa watumishi wa Afya wa Hospitali ya Wilaya ya Ushetu.

    August 12, 2025
  • Angalia yote

Video

Kilimo cha Korosho katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
Video

Viunganishi vya haraka

  • Kanuni za Utumishi wa Umma
  • Ufafanuzi wa Serikali juu ya Kukosekana kwa Mawasiliano ya simu katika Halmashauri
  • Facebook
  • Ramani ya Halmashauri

Viunganishi Mfanano

  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Ajira serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Halmashauri

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

    Anuani: S. L. P 50 Kahama

    Simu: 0767639345

    Simu ya kiganjani: 0767639345

    Barua pepe: ded@ushetudc.go.tz Tovuti www.ushetudc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati Miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu . Haki zote zimehifadhiwa