• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ushetu District Council
Ushetu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Maadili ya msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Strategic Plan
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Biashara na Fedha
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Takwimu,Mipango na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Land and Livestocks
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknoloji Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa ndani
    • Muundo wa halmashauri
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma
    • Bima ya Afya
    • Mitambo ya kutengenezea Barabara
    • Loan Services
    • Huduma za Afya
    • Education Services
    • Water Services
    • Huduma za Kilimo
    • Livestock Keeping Services
    • Huduma za Uvuvi
    • Human Resources Services
    • Huduma za Leseni za Biashara
    • Land Services
    • Forest Services
  • Madiwani
  • Miradi
    • Uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za maombi
    • Zabuni
    • Miongozo
    • Hotuba
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Uhifadhi wa picha
    • Video
    • Habari
    • Matukio

"WALIMU ONGEZENI NIDHAMU KAZINI" DED-KABOJELA

Ilipo tumwa: March 9th, 2024

"WALIMU ONGEZENI NIDHAMU KAZINI" DED-KABOJELA


WALIMU wa shule za Msingi katika Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama Mkoani Shinyanga, wametakiwa kuendelea kuwa na nidhamu kazini ili kuongeza ufaulu kwa wanafunzi kutoa 80% kwa darasa la nne na 71% kwa darasa la mpaka kufikia ufaulu 100% kwa mwaka huu 2024.

Agizo hilo limetolewa leo tarehe 07/03, 2024 na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Ushetu Hadija Kabojela, katika kikao cha tathimini ya mitihani ya shule za msingi Ushetu, ambacho kimehudhuriwa na walimu wa shule za Msingi, Maafisa elimu, Madiwani pamoja na Mbunge wa jimbo la ushetu Emmanuel Cherehani.


Kabojela amesema kuwa, ili kuongeza ufaulu kwa mwaka 2024 kila mwalimu anapaswa kuwa na nidhamu ya kazi na kutokuwa na ruhusa za mara kwa mara zisizokuwa na tija pamoja na kuwahizima wazazi kuwapeleka shule watoto wao na kuacha tabia ya kuwapeleka kuchunga ng’ombe ama kulima tumbaku.


Naye, mwenyekiti wa kamati ya Elimu, Afya na Maji, Mhe Doa Limbu amesema kuwa kuna baadhi ya wazazi mpaka sasa hawajapeleka watoto wao shule na kuwataka Wenyeviti wa vijiji na Vitongoji kufatilia watoto wote ambao hawajaenda shule na wamefauli na kuwataka waliripoti shule mapema.


Kwa upande wake Mbunge wa jimbo la Ushetu Emmanuel Cherehani amesema kuwa, ili kuongeza ufaulu kwa wanafunzi, Walimu wanapaswa kuwekewa mazingira mzauri ya kazi kwa kupandishwa madaraja pamoja na kulishughulikia suala la utoro kwa wanafunzi.


Kwa upande mwingine, Afisa taaluma wa Halmashauri ya ushetu Silvanus BONDA, wakati akisoma taarifa ya tathimini ya Mitihani kwa mwaka 2023 amesema, Ufaulu umeongezeka, kwa darasa la nne Kimkoa Halmashauri imeshika nafasi ya kwanza, na darasa la saba nafasi ya nne katika Halmashuri sita za Mkoa wa Shinyanga.

Matangazo

  • Matokeo ya usajili wa Madereva. October 03, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • USHETU KUANZA KUTEKELEZA MRADI WA REA NGAZI YA VITONGOJI 151.

    May 08, 2025
  • Habari Picha: Watumishi wa Halmashauri ya Ushetu wakumbushwa kuhusu Maadili katika utumishi wa Umma

    May 07, 2025
  • Tume ya Maadili kwa watumishi wa Umma wafanya kikao na watumishi wa makao makuu Halmashauri ya Ushetu

    May 05, 2025
  • Tangazo la uuzaji Viwanja vya Makazi na Viwanda vidogo.

    April 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Kilimo cha Korosho katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
Video

Viunganishi vya haraka

  • Kanuni za Utumishi wa Umma
  • Ufafanuzi wa Serikali juu ya Kukosekana kwa Mawasiliano ya simu katika Halmashauri
  • Facebook
  • Ramani ya Halmashauri

Viunganishi Mfanano

  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Ajira serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Halmashauri

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

    Anuani: S. L. P 50 Kahama

    Simu: 0759888848

    Simu ya kiganjani: 0759888848

    Barua pepe: ded@ushetudc.go.tz Tovuti www.ushetudc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati Miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu . Haki zote zimehifadhiwa