• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ushetu District Council
Ushetu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Maadili ya msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Strategic Plan
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Biashara na Fedha
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Takwimu,Mipango na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Land and Livestocks
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknoloji Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa ndani
    • Muundo wa halmashauri
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma
    • Bima ya Afya
    • Mitambo ya kutengenezea Barabara
    • Loan Services
    • Huduma za Afya
    • Education Services
    • Water Services
    • Huduma za Kilimo
    • Livestock Keeping Services
    • Huduma za Uvuvi
    • Human Resources Services
    • Huduma za Leseni za Biashara
    • Land Services
    • Forest Services
  • Madiwani
  • Miradi
    • Uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za maombi
    • Zabuni
    • Miongozo
    • Hotuba
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Uhifadhi wa picha
    • Video
    • Habari
    • Matukio

Halmashauri ya Ushetu Yagawa Hati za Hakimiliki za Kimila kwa Wananchi wa Vijiji vya Igunda na Butibu.

Ilipo tumwa: September 27th, 2025


Ushetu DC

 Septemba 25, 2025


Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu, Bw. Deus Kakulima, ameongoza zoezi la kugawa hati za hakimiliki za kimila kwa wananchi wa vijiji vya Igunda na Butibu, Halmashauri ya  wilaya ya  Ushetu Mkoani Shinyanga.


Zoezi hilo limefanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Igunda, ambapo zaidi ya wananchi 1,000 wamekabidhiwa hati 1,022 za kumilikishwa ardhi kisheria.

Katika zoezi hilo, wananchi 595 wa Kijiji cha Igunda walipokea hati zao, huku wananchi 427 wa Kijiji cha Butibu wakipatiwa hati hizo.


Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Bw. Kakulima alisema hati hizo zitasaidia wananchi kuwa wamiliki halali wa maeneo yao, kuongeza usalama wa umiliki, na kuzuia migogoro ya ardhi katika vijiji hivyo.

Zoezi hilo limewezeshwa na Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu.

“Lengo letu ni kuhakikisha kila mwananchi anamiliki ardhi yake kwa mujibu wa sheria, ili iweze kuwa chachu ya maendeleo na kuepusha migogoro ya mara kwa mara inayotokana na umiliki holela wa ardhi,” alisema Bw. Kakulima.

Wananchi waliopokea hati hizo wameeleza kufurahia hatua hiyo wakisema itawawezesha kutumia ardhi yao kama dhamana katika taasisi za kifedha pamoja na kurithisha mali zao kwa usalama zaidi.

Matangazo

  • Matokeo ya usajili wa Madereva. October 03, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • Halmashauri ya Ushetu Yagawa Hati za Hakimiliki za Kimila kwa Wananchi wa Vijiji vya Igunda na Butibu.

    September 27, 2025
  • HALMASHAURI YA USHETU MBIONI KUTEKELEZA MRADI WA HEWA YA KABONI.

    September 20, 2025
  • WASIMAMIZI MAGETI YA KUKUSANYA MAPATO USHETU WAPEWA MOTISHA

    September 10, 2025
  • JUMLA YA MIFUGO WAPATAO 298,024 KUPATIWA CHANJO YA HOMA YA MAPAFU, USHETU.

    September 02, 2025
  • Angalia yote

Video

Kilimo cha Korosho katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
Video

Viunganishi vya haraka

  • Kanuni za Utumishi wa Umma
  • Ufafanuzi wa Serikali juu ya Kukosekana kwa Mawasiliano ya simu katika Halmashauri
  • Facebook
  • Ramani ya Halmashauri

Viunganishi Mfanano

  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Ajira serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Halmashauri

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

    Anuani: S. L. P 50 Kahama

    Simu: 0767639345

    Simu ya kiganjani: 0767639345

    Barua pepe: ded@ushetudc.go.tz Tovuti www.ushetudc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati Miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu . Haki zote zimehifadhiwa