• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ushetu District Council
Ushetu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Maadili ya msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Strategic Plan
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Biashara na Fedha
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Takwimu,Mipango na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Land and Livestocks
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknoloji Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa ndani
    • Muundo wa halmashauri
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma
    • Bima ya Afya
    • Mitambo ya kutengenezea Barabara
    • Loan Services
    • Huduma za Afya
    • Education Services
    • Water Services
    • Huduma za Kilimo
    • Livestock Keeping Services
    • Huduma za Uvuvi
    • Human Resources Services
    • Huduma za Leseni za Biashara
    • Land Services
    • Forest Services
  • Madiwani
  • Miradi
    • Uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za maombi
    • Zabuni
    • Miongozo
    • Hotuba
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Uhifadhi wa picha
    • Video
    • Habari
    • Matukio

MKURUGENZI WA HALMASHAURI AFUNGUA MAFUNZO YA KILIMO BORA CHA KARANGA

Ilipo tumwa: November 26th, 2025

Ushetu DC

25 Novemba, 2025



Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu, Bi. Hadija Kabojela, amefungua mafunzo ya siku moja kuhusu kilimo bora cha karanga yanayoendeshwa na wataalamu kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) – Naliendele, Mtwara.

Mafunzo hayo yanafanyika katika ukumbi wa mikutano wa Hospitali ya Waliya – Ushetu na yamehudhuriwa na Maafisa Kilimo kutoka kata zote za Halmashauri ya Ushetu. Kupitia mafunzo hayo, washiriki wamefundishwa mbinu mbalimbali za uzalishaji bora wa karanga, ikiwa ni pamoja na:

Aina mbalimbali za mbegu bora za karanga zinazostahili kwa maeneo tofauti,

Utayarishaji sahihi wa mashamba kabla ya msimu wa kilimo,

Mbinu bora za upandaji wa mbegu za karanga ili kuongeza tija,

Utunzaji wa mazao shambani kwa kuzingatia kanuni bora za kilimo,

Mbinu sahihi za uvunaji wa zao la karanga ili kupata mazao yenye ubora na mavuno mengi.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo, Bi. Hadija Kabojela ameishukuru TARI–Naliendele kwa kushirikiana na Halmashauri katika kutoa elimu yenye manufaa kwa Maafisa Kilimo, na amewataka washiriki kuyatumia mafunzo hayo kikamilifu katika kuwahudumia wakulima.

Aidha, amesisitiza umuhimu wa kuongeza uzalishaji wa zao la karanga ili kuinua kipato cha wananchi na kuchochea maendeleo ya kiuchumi katika Halmashauri ya Ushetu.

Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu itaendelea kushirikiana na taasisi mbalimbali za utafiti na maendeleo ya kilimo ili kuboresha uzalishaji na kuongeza kipato kwa jamii.

Matangazo

  • Matokeo ya usajili wa Madereva. October 03, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI AFUNGUA MAFUNZO YA KILIMO BORA CHA KARANGA

    November 26, 2025
  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA USHETU AHIMIZA USAFI,MAZOEZI UMOJA NA USHIRIKIANO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI

    November 21, 2025
  • Halmashauri ya Ushetu Yagawa Hati za Hakimiliki za Kimila kwa Wananchi wa Vijiji vya Igunda na Butibu.

    September 27, 2025
  • HALMASHAURI YA USHETU MBIONI KUTEKELEZA MRADI WA HEWA YA KABONI.

    September 20, 2025
  • Angalia yote

Video

Kilimo cha Korosho katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
Video

Viunganishi vya haraka

  • Kanuni za Utumishi wa Umma
  • Ufafanuzi wa Serikali juu ya Kukosekana kwa Mawasiliano ya simu katika Halmashauri
  • Facebook
  • Ramani ya Halmashauri

Viunganishi Mfanano

  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Ajira serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Halmashauri

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

    Anuani: S. L. P 50 Kahama

    Simu: 0767639345

    Simu ya kiganjani: 0767639345

    Barua pepe: ded@ushetudc.go.tz Tovuti www.ushetudc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati Miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu . Haki zote zimehifadhiwa