Wajumbe wa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango, wamefanya ziara ya kujifunza namna bora ya kusanya mapato hasa Ushuru wa Madini.
Ziara hiyo iliyofanyika kwa siku mbili, kuanzia tarehe 28 na 29/04/2022 na Ikiongozwa na mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Gagi Lala Gagi, walijikita zaidi kujua namna bora ya Ukusanyaji wa mapato hasa kweye Ushuru wa Madini, lengo hasa ikiwa ni kuboresha ukusanyaji wa Ushuru wa Madini katika Machimbo ya Mwabomba yaliyopo katika Halmashauri ya Ushetu.
Kwa taarifa zaidi soma hapa https://ushetudc.go.tz/storage/app/uploads/public/627/8a5/570/6278a5570c31b580718258.pdf
Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
Anuani: S. L. P 50 Kahama
Simu: 0759888848
Simu ya kiganjani: 0759888848
Barua pepe: ded@ushetudc.go.tz Tovuti www.ushetudc.go.tz
Hati Miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu . Haki zote zimehifadhiwa