• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ushetu District Council
Ushetu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Maadili ya msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Strategic Plan
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Biashara na Fedha
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Takwimu,Mipango na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Land and Livestocks
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknoloji Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa ndani
    • Muundo wa halmashauri
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma
    • Bima ya Afya
    • Mitambo ya kutengenezea Barabara
    • Loan Services
    • Huduma za Afya
    • Education Services
    • Water Services
    • Huduma za Kilimo
    • Livestock Keeping Services
    • Huduma za Uvuvi
    • Human Resources Services
    • Huduma za Leseni za Biashara
    • Land Services
    • Forest Services
  • Madiwani
  • Miradi
    • Uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za maombi
    • Zabuni
    • Miongozo
    • Hotuba
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Uhifadhi wa picha
    • Video
    • Habari
    • Matukio

WADAU WA MAENDELEO HALMASHAURI YA USHETU WAPATA MAFUNZO YA MFUMO WA FURSA NA VIKWAZO KWA MAENDELEO.

Ilipo tumwa: December 7th, 2021

WADAU WA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA USHETU WAPEWA MAFUNZO YA MFUMO WA FURSA NA VIKWAZO KWA MAENDELEO (O & OD) ILIYOBORESHWA.

Mafunzo ya Mfumo wa Fursa na Vikwazo kwa Maendeleo (O & OD) Iliyoboreshwa, yametolewa leo tarehe 7 Disemba, 2021,  katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Ushetu,Mafunzo hayo yalianza muda wa saa 3 asubuhi, ambapo Mbuge wa Jimbo la Ushetu Mh. Emmanuel Cherehani, Madiwani wote wa Halmashauri ya Ushetu, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Ushetu ndugu Linno Pius Mwageni, Wakuu wa Idara na Vitengo, Watendaji wa Kata zote za Halmashauri ya Ushetu pamoja na watumishi wengine wa Halmashauri ya Ushetu, kwa pamoja wamepatiwa mafunzo hayo.

Mafunzo hayo yamewezeshwa na wawezeshaji wawili, ndungu Bryan Samuel kutoka OR-TAMISEMI,  na Ndugu Rodgers Rugenyomu kutoka Chuo cha Serikali za Mitaa Homboro.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Ushetu Ndg. Linno Pius Mwageni, aliwataka mashiriki wote kuwa makini na wasikivu ili kuweza kuelewa sawa sawa mafunzo hayo na kuyatumia kwa ufanisi ili kuleta tija kwa jamiii nzima ya Ushetu na Taifa kwa Ujumla.

Katika hatua nyingine, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ushetu Mh. Gagi Lala Gagi, alimshukru Mkrugenzi mtendaji wa Halmashauri kwa kuleta mafunzo hayo, ‘ Ndugu Mkurugenzi, kwa niaba ya sisi Madiwani na wataalamu kutoka Ngazi ya Halmasuari na Kata, naomba nikushukru sana kwa kutuletea Mafunzo haya, kwani yametujengea uwezo mkubwa hasa katika swala zima la kuibua na kutumia Jitihada za wananchi katika kutekeleza na Kukamilisha Miradi katika maeneo yetu. Lakini nikuombe pia katika Bajeti ya mwaka wa Fedha ujao, Ninakuomba uongeze kipengele cha Mafunzo haya, walau tuwe tunafanya hata kwa siku Mbili au tatu ili kujenga uelewa zaidi kuliko hivi tulivyofanya kwa siku moja.’

Mafuzo hayo yalihitimishwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Ndugu Gagi Lala Gagi, kwa kuahirisha mafunzo hayo mnamo muda wa saa 10 jioni na kuwatakia washiriki wote utekelezaji mwema kwa yale waliojifunza.



Matangazo

  • Matokeo ya usajili wa Madereva. October 03, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • RC MACHA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MAENDELEO YA MIRADI YA MWENGE HALMASHAURI YA WILAYA YA USHETU 2024/2025

    May 20, 2025
  • USHETU KUANZA KUTEKELEZA MRADI WA REA NGAZI YA VITONGOJI 151.

    May 08, 2025
  • Habari Picha: Watumishi wa Halmashauri ya Ushetu wakumbushwa kuhusu Maadili katika utumishi wa Umma

    May 07, 2025
  • Tume ya Maadili kwa watumishi wa Umma wafanya kikao na watumishi wa makao makuu Halmashauri ya Ushetu

    May 05, 2025
  • Angalia yote

Video

Kilimo cha Korosho katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
Video

Viunganishi vya haraka

  • Kanuni za Utumishi wa Umma
  • Ufafanuzi wa Serikali juu ya Kukosekana kwa Mawasiliano ya simu katika Halmashauri
  • Facebook
  • Ramani ya Halmashauri

Viunganishi Mfanano

  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Ajira serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Halmashauri

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

    Anuani: S. L. P 50 Kahama

    Simu: 0759888848

    Simu ya kiganjani: 0759888848

    Barua pepe: ded@ushetudc.go.tz Tovuti www.ushetudc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati Miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu . Haki zote zimehifadhiwa