• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ushetu District Council
Ushetu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Maadili ya msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Strategic Plan
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Biashara na Fedha
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Takwimu,Mipango na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Land and Livestocks
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknoloji Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa ndani
    • Muundo wa halmashauri
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma
    • Bima ya Afya
    • Mitambo ya kutengenezea Barabara
    • Loan Services
    • Huduma za Afya
    • Education Services
    • Water Services
    • Huduma za Kilimo
    • Livestock Keeping Services
    • Huduma za Uvuvi
    • Human Resources Services
    • Huduma za Leseni za Biashara
    • Land Services
    • Forest Services
  • Madiwani
  • Miradi
    • Uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za maombi
    • Zabuni
    • Miongozo
    • Hotuba
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Uhifadhi wa picha
    • Video
    • Habari
    • Matukio

VIKUNDI VYA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU HALMASHAURI YA USHETU, WATAKIWA KUREJESHA KWA WAKATI FEDHA ZA MIKOPO YA ASILIMIA 10.

Ilipo tumwa: June 29th, 2024

Na Emmanuel Shomary

USHETU DC.

27 Juni, 2024

Vikundi vya Vijana, Wanawake na watu wenye Ulemavu katika Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama Mkoani Shinyanga, wametakiwa kurejesha kwa wakati fedha za mikopo ya asilimia 10 ya makusanyo ya mapato ya ndani walizochukua ili na wengine wenye uhitaji wa kukopeshwa,  waweze kukopeshwa fedha hizo.

Agizo hilo limetolewa na kaimu Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Julius MTATIRO wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani Ushetu, katika kujadili taarifa ya Hoja za  Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, ambapo amewataka viongozi wa Halmashauriya hiyo kuwafatilia wote ambao bado mpaka sasa hawajarejesha fedha hizo ili na Wananchi wengine wanufaike na mikopo hiyo isiyokuwa na riba.

Naye, Kaimu Mweka hazina wa Halmashauri ya Ushetu, Ndugu Charles MATUBA, wakati akitoa taarifa ya Hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, amesema mpaka sasa Halmashauri hiyo inadai mikopo hiyo kwa vikundi vya Vijana, Wanawake na watu mwenye Ulemavu shilingi milioni 20 huku wakiweka utaratibu mzuri wa kukusanya mikopo hiyo.

Kwa upande wake mwenyekiti wa Halmashauri ya Ushetu, Mhe. Gagi LALA amesema kuwa kurejeshwa kwa mikopo hiyo ni lazima na sio ombi.

Katika hatua nyingine, Mbunge wa jimbo la Ushetu, Emmanuel CHEREHANI, amewataka Wananchi wanapokopa fedha hiyo waende kuizalisha na sio kufanyia starehe.

Hata hivyo, Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CPA Yusuph MABWE,  amesema kiini cha matatizo ya baadhi ya vikundi kutolipa mikopo hiyo, Ni kutokana na  baadhi ya watoa mikopo kutozingatia taratibu na kanuni za utoaji wa mikopo hiyo ya 10%

Matangazo

  • Matokeo ya usajili wa Madereva. October 03, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • RC MACHA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MAENDELEO YA MIRADI YA MWENGE HALMASHAURI YA WILAYA YA USHETU 2024/2025

    May 20, 2025
  • USHETU KUANZA KUTEKELEZA MRADI WA REA NGAZI YA VITONGOJI 151.

    May 08, 2025
  • Habari Picha: Watumishi wa Halmashauri ya Ushetu wakumbushwa kuhusu Maadili katika utumishi wa Umma

    May 07, 2025
  • Tume ya Maadili kwa watumishi wa Umma wafanya kikao na watumishi wa makao makuu Halmashauri ya Ushetu

    May 05, 2025
  • Angalia yote

Video

Kilimo cha Korosho katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
Video

Viunganishi vya haraka

  • Kanuni za Utumishi wa Umma
  • Ufafanuzi wa Serikali juu ya Kukosekana kwa Mawasiliano ya simu katika Halmashauri
  • Facebook
  • Ramani ya Halmashauri

Viunganishi Mfanano

  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Ajira serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Halmashauri

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

    Anuani: S. L. P 50 Kahama

    Simu: 0759888848

    Simu ya kiganjani: 0759888848

    Barua pepe: ded@ushetudc.go.tz Tovuti www.ushetudc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati Miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu . Haki zote zimehifadhiwa