• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ushetu District Council
Ushetu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Maadili ya msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Strategic Plan
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Biashara na Fedha
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Takwimu,Mipango na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Land and Livestocks
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknoloji Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa ndani
    • Muundo wa halmashauri
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma
    • Bima ya Afya
    • Mitambo ya kutengenezea Barabara
    • Loan Services
    • Huduma za Afya
    • Education Services
    • Water Services
    • Huduma za Kilimo
    • Livestock Keeping Services
    • Huduma za Uvuvi
    • Human Resources Services
    • Huduma za Leseni za Biashara
    • Land Services
    • Forest Services
  • Madiwani
  • Miradi
    • Uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za maombi
    • Zabuni
    • Miongozo
    • Hotuba
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Uhifadhi wa picha
    • Video
    • Habari
    • Matukio

USHETU KUANZA KUTEKELEZA MRADI WA REA NGAZI YA VITONGOJI 151.

Ilipo tumwa: May 8th, 2025

USHETU KUANZA KUTEKELEZA MRADI WA REA NGAZI YA VITONGOJI 151.


Ushetu-kahama

Na. Emmanuel Shomary ,

07/05/2025.


Hayo yamebainishwa leo kupitia kikao cha robo ya 3 cha baraza la madiwani katika Halmashauri Ushetu wakati wa kupokea taarifa ya utekelezaji iliyotolewa na Meneja wa TANESCO kwa ngazi ya  Wilaya ya  Ushetu, Eng. George Madaha


Katika hatua Nyingine Eng. Madaha amesema, Ushetu kuna mradi mkubwa wa Umeme wa jua unaotekelezwa katika Kata ya Ukune kwenye Kijiji cha Kayenze, Umeme utakaozalisha Mega Wati 5 katika uimarishaji wa huduma.


Akizungumza kupitia kikao hicho, Diwani wa kata ya Nyankende, Mh Doah Limbu amemtaka Meneja Madaha kuisimamia kampuni ya NTONTAN kutoka China inayotekeleza mradi huo, ili iongeze kasi na umeme huo muhimu upatikane kwa haraka.


Kwa upande mwingine, Madiwani wa Ushetu, wamepongeza jitihada kubwa za Serikali katika kufanikisha mradi wa umeme ambao umeongeza ajira kwa Wananchi wa Ushetu kwa kufungua viwanda vidogo vidogo na pia matumizi ya kawaida.


Kwaupande wake Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo na ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Igwamanoni, Mhe. Gagi Lala Gagi, amemuomba mkuu wa Wilaya ya Kahama, Mhe. Mboni Mohamed Mhita kushirikiana na vyombo vya Usalama ili kuendelea kuimarisha ulinzi na usalama kwenye Wilaya ya Kahama hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu.

Matangazo

  • Matokeo ya usajili wa Madereva. October 03, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • USHETU KUANZA KUTEKELEZA MRADI WA REA NGAZI YA VITONGOJI 151.

    May 08, 2025
  • Habari Picha: Watumishi wa Halmashauri ya Ushetu wakumbushwa kuhusu Maadili katika utumishi wa Umma

    May 07, 2025
  • Tume ya Maadili kwa watumishi wa Umma wafanya kikao na watumishi wa makao makuu Halmashauri ya Ushetu

    May 05, 2025
  • Tangazo la uuzaji Viwanja vya Makazi na Viwanda vidogo.

    April 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Kilimo cha Korosho katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
Video

Viunganishi vya haraka

  • Kanuni za Utumishi wa Umma
  • Ufafanuzi wa Serikali juu ya Kukosekana kwa Mawasiliano ya simu katika Halmashauri
  • Facebook
  • Ramani ya Halmashauri

Viunganishi Mfanano

  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Ajira serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Halmashauri

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

    Anuani: S. L. P 50 Kahama

    Simu: 0759888848

    Simu ya kiganjani: 0759888848

    Barua pepe: ded@ushetudc.go.tz Tovuti www.ushetudc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati Miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu . Haki zote zimehifadhiwa