• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ushetu District Council
Ushetu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Maadili ya msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Strategic Plan
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Biashara na Fedha
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Takwimu,Mipango na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Land and Livestocks
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknoloji Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa ndani
    • Muundo wa halmashauri
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma
    • Bima ya Afya
    • Mitambo ya kutengenezea Barabara
    • Loan Services
    • Huduma za Afya
    • Education Services
    • Water Services
    • Huduma za Kilimo
    • Livestock Keeping Services
    • Huduma za Uvuvi
    • Human Resources Services
    • Huduma za Leseni za Biashara
    • Land Services
    • Forest Services
  • Madiwani
  • Miradi
    • Uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za maombi
    • Zabuni
    • Miongozo
    • Hotuba
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Uhifadhi wa picha
    • Video
    • Habari
    • Matukio

Tume ya Maadili kwa watumishi wa Umma wafanya kikao na watumishi wa makao makuu Halmashauri ya Ushetu

Ilipo tumwa: May 5th, 2025

Tume ya Maadili kwa watumishi wa Umma wafanya kikao na watumishi wa makao makuu Halmashauri ya Ushetu.


Na. Emmanuel Shomary,

Ushetu DC.

05 Mei, 2025.


KIKAO hicho chenye lengo la kuwakumbusha watumishi juu ya maadili ya Umma,  kimefanyika leo katika eneo la wazi lililopo kwenye jengo la utawala la Halmashauri ya ushetu, na kuhudhuliwa na watumishi wote wa makao makuu.


Akiongea katika kikao hicho, afisa kutoka Tume ya maadili kwa watumishi Kanda ya Magharibi bwana

Fupala Mbwilo, amewataka watumishi wa Umma kuendelea kuwa waadilifu na wenye bidii katika kazi ili Wananchi waendelee lupata huduma bora.


'Watumishi wenzangu, Nimekuja ili tujikumbushe kuhusu maadili ya Utumishi wa Umma.

Tukumbuke kwamba, Serikali iliyopo madarakani imewekwa na Wananchi, hivyo Wananchi ndio Waajili wetu namba moja, hivyo ukimuona mwananchi anakuja ofisini kwako kupata huduma, basi fanya Kadri ya uwezo wako kuumpa huduma bora, maana huyo ndiye mwajili wetu" alisema Mbwilo.


Katika hatua nyingine, naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Ushetu, Bi. Hadija KABOJELA, amewataka watumishi hao kuendelea kuwa waadilifu na kufanya kazi kwa bidii ili lengo la kutoa huduma bora kwa wananchi liendelee kutimizwa.


"Sisi Ushetu, kwa asilimia 100, kazi zetu na hata huduma zetu zinagusa wananchi moja kwa moja, hivyo niendelee kuwakumbusha watumishi wenzangu, tuendelee kuboresha na kutoa huduma bora kwa wananchi, ili wananchi hawa waone fahari kwa kuhudumiwa na Serikali yao na hivyo wawe na upendo kwa Serikali yao". Alisema Kabojela.


Kikao hicho kilichoanza muda wa saa 3 na nusu asubuhi, kilitamatika saa 5 asubuhi, na wajumbe kupata kifungua kinywa kwa pamoja na Kisha kuendelea na majukumu yao ya kila siku.

Matangazo

  • Matokeo ya usajili wa Madereva. October 03, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • USHETU KUANZA KUTEKELEZA MRADI WA REA NGAZI YA VITONGOJI 151.

    May 08, 2025
  • Habari Picha: Watumishi wa Halmashauri ya Ushetu wakumbushwa kuhusu Maadili katika utumishi wa Umma

    May 07, 2025
  • Tume ya Maadili kwa watumishi wa Umma wafanya kikao na watumishi wa makao makuu Halmashauri ya Ushetu

    May 05, 2025
  • Tangazo la uuzaji Viwanja vya Makazi na Viwanda vidogo.

    April 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Kilimo cha Korosho katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
Video

Viunganishi vya haraka

  • Kanuni za Utumishi wa Umma
  • Ufafanuzi wa Serikali juu ya Kukosekana kwa Mawasiliano ya simu katika Halmashauri
  • Facebook
  • Ramani ya Halmashauri

Viunganishi Mfanano

  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Ajira serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Halmashauri

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

    Anuani: S. L. P 50 Kahama

    Simu: 0759888848

    Simu ya kiganjani: 0759888848

    Barua pepe: ded@ushetudc.go.tz Tovuti www.ushetudc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati Miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu . Haki zote zimehifadhiwa