• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ushetu District Council
Ushetu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Maadili ya msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Strategic Plan
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Biashara na Fedha
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Takwimu,Mipango na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Land and Livestocks
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknoloji Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa ndani
    • Muundo wa halmashauri
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma
    • Bima ya Afya
    • Mitambo ya kutengenezea Barabara
    • Loan Services
    • Huduma za Afya
    • Education Services
    • Water Services
    • Huduma za Kilimo
    • Livestock Keeping Services
    • Huduma za Uvuvi
    • Human Resources Services
    • Huduma za Leseni za Biashara
    • Land Services
    • Forest Services
  • Madiwani
  • Miradi
    • Uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za maombi
    • Zabuni
    • Miongozo
    • Hotuba
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Uhifadhi wa picha
    • Video
    • Habari
    • Matukio

NAIBU WAZIRI WA NISHATI JUDITH KAPINGA, AMUAGIZA MKANDARASI WA REA USHETU KUONGEZA KASI YA KUSAMBAZA UMEME.

Ilipo tumwa: July 3rd, 2024


Na. Emmanuel Shomary,

Ushetu DC.

Jul 02,2024.

Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga, Amemuagiza Mkandarasi anayesambaza Umeme vijini (REA) Halmashauri ya Ushetu Wilayani Kahama Mkoani shinyanga Kuongeza kasi ya kusogeza huduma hiyo Kwa Wananchi.

Agizo hilo amelitoa leo 01 Julai,2024 katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kijiji Cha Nsunga Kata ya Uyogo Baada ya kuwepo Kwa malalamiko yanayotokana na changamoto ya upatikanaji wa huduma hiyo Kwa wakazi wa eneo hilo.

"Nawaagiza makandarasi kukamilisha miradi kwenye maeneo yenu yote maana hakuna sababu ya kutokufanya hivyo, kwani  Mhe. Rais ameshatoa fedha nyingi ili Wananchi hawa wafikishiwe Umeme" amesema Kapinga.

Katika hatua nyingine, Emmanuel Cherehani Mbunge wa Jimbo hilo amemuomba Mhe. Kapinga kupatikane  gari maalumu kwaajiri ya kuwahudumia Wananchi wa Ushetu kulingana na ukubwa wa Jimbo hilo linalochukua asilimia 56 ya eneo lote la Wilaya ya Kahama.

"Mheshimiwa Naibu Waziri, Jimbo hili ni kubwa na linakata 20 na kifupi linachukuwa asilimia 56 ya eneo lote la Wilaya ya Kahama, mimi niombe mtupatie gari Ushetu kwaajiri ya kutoa huduma kwa Wananchi hawa, kutegenea magari ya wilaya ni changamoto" Alisema Cherehani.

Pia, baadhi ya Wananchi wa Ushetu wamelezea faida za Umeme namna ulivyowawezesha kuongeza ajira Kwa kuanzisha viwanda vidogo vidogo.

"Ukweli ni kwamba, kuja kwa umeme hasa kata ya Uyogo, kumesaidia sana kutoa ajira kwa Wananchi, mfano wa wazi ni pale makao makuu ya kata, pana Mashine kubwa ya kugredi mchele, ambapo vijana wamepata ajira, na akina mama ndio wamiliki hasa wa hicho kiwanda" Alisema Bahati Maige mkazi wa kijiji cha Nsuga kata ya Uyogo.

Matangazo

  • Matokeo ya usajili wa Madereva. October 03, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • USHETU KUANZA KUTEKELEZA MRADI WA REA NGAZI YA VITONGOJI 151.

    May 08, 2025
  • Habari Picha: Watumishi wa Halmashauri ya Ushetu wakumbushwa kuhusu Maadili katika utumishi wa Umma

    May 07, 2025
  • Tume ya Maadili kwa watumishi wa Umma wafanya kikao na watumishi wa makao makuu Halmashauri ya Ushetu

    May 05, 2025
  • Tangazo la uuzaji Viwanja vya Makazi na Viwanda vidogo.

    April 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Kilimo cha Korosho katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
Video

Viunganishi vya haraka

  • Kanuni za Utumishi wa Umma
  • Ufafanuzi wa Serikali juu ya Kukosekana kwa Mawasiliano ya simu katika Halmashauri
  • Facebook
  • Ramani ya Halmashauri

Viunganishi Mfanano

  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Ajira serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Halmashauri

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

    Anuani: S. L. P 50 Kahama

    Simu: 0759888848

    Simu ya kiganjani: 0759888848

    Barua pepe: ded@ushetudc.go.tz Tovuti www.ushetudc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati Miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu . Haki zote zimehifadhiwa