• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ushetu District Council
Ushetu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Maadili ya msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Strategic Plan
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Biashara na Fedha
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Takwimu,Mipango na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Land and Livestocks
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknoloji Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa ndani
    • Muundo wa halmashauri
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma
    • Bima ya Afya
    • Mitambo ya kutengenezea Barabara
    • Loan Services
    • Huduma za Afya
    • Education Services
    • Water Services
    • Huduma za Kilimo
    • Livestock Keeping Services
    • Huduma za Uvuvi
    • Human Resources Services
    • Huduma za Leseni za Biashara
    • Land Services
    • Forest Services
  • Madiwani
  • Miradi
    • Uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za maombi
    • Zabuni
    • Miongozo
    • Hotuba
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Uhifadhi wa picha
    • Video
    • Habari
    • Matukio

HALMASHAURI YA USHETU MBIONI KUTEKELEZA MRADI WA HEWA YA KABONI.

Ilipo tumwa: September 20th, 2025


Ushetu DC

19 Septemba, 2025.



KATIKA kikao kilichofanyika mapema leo tarehe 19/09/2025, kwenye Ukumbi wa Mikutano uliopo Hospitali ya Wilaya ya Ushetu, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu, Bi. Hajida Kabojela, ameongoza kikao cha majadiliano ya mkataba wa awali baina ya Halmashauri  ya Ushetu na wawakilishi wa kampuni ya kimataifa ya SOLDEMCOM AGRO LTD juu ya uwekezaji wa biashara ya kaboni katika eneo la Msitu wa Mpunze, uliopo ndani ya Halmashuri ya Wilaya ya Ushetu.


Kikao hicho pia kiliwahusisha wakuu wa idara mbalimbali wa Halmashauri ya Ushetu, ambapo pande zote mbili zilijadili masuala ya msingi yanayohusu masharti na utekelezaji wa mkataba wa uwekezaji huo.

Biashara ya kaboni imeelezwa kuwa ni fursa muhimu kwa Halmashauri hiyo katika kulinda mazingira na kuendeleza uchumi wa kijamii, kupitia mapato yatakayopatikana kutokana na uhifadhi na uendelezaji wa msitu wa Mpunze.


Mkurugenzi Kabojela amesema kuwa mazungumzo hayo ni hatua ya mwanzo kuelekea ushirikiano wenye tija kati ya Halmashauri na SOLDEMCOM AGRO LTD, ambapo mkazo utawekwa katika uhifadhi endelevu wa mazingira pamoja na kuongeza kipato cha wananchi.


Kwa upande wake, Mwakilishi wa kampuni ya  SOLDEMCOM AGRO LTD, bwana Amani Hosea, amesema kampuni yao imejipanga kuwekeza kwa manufaa ya jamii na kusaidia kuimarisha shughuli za maendeleo kupitia mradi huo wa kaboni.

Matangazo

  • Matokeo ya usajili wa Madereva. October 03, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • Halmashauri ya Ushetu Yagawa Hati za Hakimiliki za Kimila kwa Wananchi wa Vijiji vya Igunda na Butibu.

    September 27, 2025
  • HALMASHAURI YA USHETU MBIONI KUTEKELEZA MRADI WA HEWA YA KABONI.

    September 20, 2025
  • WASIMAMIZI MAGETI YA KUKUSANYA MAPATO USHETU WAPEWA MOTISHA

    September 10, 2025
  • JUMLA YA MIFUGO WAPATAO 298,024 KUPATIWA CHANJO YA HOMA YA MAPAFU, USHETU.

    September 02, 2025
  • Angalia yote

Video

Kilimo cha Korosho katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
Video

Viunganishi vya haraka

  • Kanuni za Utumishi wa Umma
  • Ufafanuzi wa Serikali juu ya Kukosekana kwa Mawasiliano ya simu katika Halmashauri
  • Facebook
  • Ramani ya Halmashauri

Viunganishi Mfanano

  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Ajira serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Halmashauri

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

    Anuani: S. L. P 50 Kahama

    Simu: 0767639345

    Simu ya kiganjani: 0767639345

    Barua pepe: ded@ushetudc.go.tz Tovuti www.ushetudc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati Miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu . Haki zote zimehifadhiwa