• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ushetu District Council
Ushetu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Maadili ya msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Strategic Plan
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Biashara na Fedha
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Takwimu,Mipango na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Land and Livestocks
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknoloji Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa ndani
    • Muundo wa halmashauri
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma
    • Bima ya Afya
    • Mitambo ya kutengenezea Barabara
    • Loan Services
    • Huduma za Afya
    • Education Services
    • Water Services
    • Huduma za Kilimo
    • Livestock Keeping Services
    • Huduma za Uvuvi
    • Human Resources Services
    • Huduma za Leseni za Biashara
    • Land Services
    • Forest Services
  • Madiwani
  • Miradi
    • Uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za maombi
    • Zabuni
    • Miongozo
    • Hotuba
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Uhifadhi wa picha
    • Video
    • Habari
    • Matukio

MILIONI 500 ZANUNUA VIFAA TIBA HOSPITALI YA WILAYA YA USHETU.

Ilipo tumwa: March 1st, 2024

Na Ushetu DC, KAHAMA.


WANANCHI wa Halmashauri ya Ushetu Mkoani Shinyanga, wameondokana na adha ya kutembea umbali wa zaidi ya kilometa 100 kwenda na kurudi Hospitali ya Manispaa ya Kahama kupata matibabu, baada ya Serikali kununua vifaa vya wagonjwa wa dharuara katika Hospitali ya Halmashauri hiyo vyenye thamani ya TSh.milioni 500.


Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Ushetu, Ndg. Athumani Matindo aliyabainisha haya wakati wa ziara ya Kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa ya kukagua Miradi mbalimbali ya Maendeleo.


Akiongea wakati wa ziara hiyo, Daktari Matindo alisema, awali walilazimika kusafirisha wagonjwa wa dharura mpaka Hospitali ya kahama ili kupata matibabu.


Dr. Matindo alivitaja baadhi ya vifaa hivyo kuwa ni pamoja na Digital X-ray, Ultrasound, Vitanda, Monitor pamoja na Ventilator vikiwa na thamani ya Sh.milioni 500 na kwamba mpaka sasa wameshatoa huduma kwa wagonjwa wa dharura 70 na amekuwa akihimiza kwa watoa huduma kuwa na lugha nzuri kwa wagonjwa.


Alisema, mwaka 2022 walipokea Sh.milioni 300 za kujenga kitengo cha Wagonjwa wa dharura, ambapo matibabu yake ilikuwa mpaka kusafiri umbali wa zaidi ya kilometa 100 kwenda na kurudi Hospitali ya Kahama,na wale wanaohitaji rufani ya kwenda Bugando wanatoka moja kwa moja, tofauti na awali walivyokuwa wanapita kwenye hospitali hiyo ya Kahama.


Mbunge wa jimbo la Ushetu, Mhe. Emmanuel Cherehani alisema, wapo baadhi ya Wagonjwa waliopo jirani na mikoa ya Geita na Tabora, walilazimika kwenda huko kupata matibabu, lakini baada ya kuwepo huduma ya wagonjwa wanje (OPD) na kitengo cha wagonjwa wa dharura Hospitali hiyo, hawajaenda tena Mikoa hiyo.


Pia Mh. Emmanuel alisema, amekuwa akipambana Bungeni kuhakikisha sekta ya Afya Halmashauri hiyo inaimalika na Wananchi wanapata huduma karibu na hivi karibuni wamepokea Sh.milioni 600 kati ya hizo Sh.300 zitatumika kununua vifaa tiba katika Zahanati ya Ulewe na Sh.300 pia kwenye kituo cha afya Igwamanoni.


Nae Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Mabala Mlolwa aliwapongeza kwa kuhakikisha Hospitali hiyo inakuwa na kitengo cha wagonjwa wa dharura.

Matangazo

  • Matokeo ya usajili wa Madereva. October 03, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • USHETU KUANZA KUTEKELEZA MRADI WA REA NGAZI YA VITONGOJI 151.

    May 08, 2025
  • Habari Picha: Watumishi wa Halmashauri ya Ushetu wakumbushwa kuhusu Maadili katika utumishi wa Umma

    May 07, 2025
  • Tume ya Maadili kwa watumishi wa Umma wafanya kikao na watumishi wa makao makuu Halmashauri ya Ushetu

    May 05, 2025
  • Tangazo la uuzaji Viwanja vya Makazi na Viwanda vidogo.

    April 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Kilimo cha Korosho katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
Video

Viunganishi vya haraka

  • Kanuni za Utumishi wa Umma
  • Ufafanuzi wa Serikali juu ya Kukosekana kwa Mawasiliano ya simu katika Halmashauri
  • Facebook
  • Ramani ya Halmashauri

Viunganishi Mfanano

  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Ajira serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Halmashauri

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

    Anuani: S. L. P 50 Kahama

    Simu: 0759888848

    Simu ya kiganjani: 0759888848

    Barua pepe: ded@ushetudc.go.tz Tovuti www.ushetudc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati Miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu . Haki zote zimehifadhiwa