• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ushetu District Council
Ushetu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Maadili ya msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Strategic Plan
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Biashara na Fedha
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Takwimu,Mipango na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Land and Livestocks
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknoloji Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa ndani
    • Muundo wa halmashauri
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma
    • Bima ya Afya
    • Mitambo ya kutengenezea Barabara
    • Loan Services
    • Huduma za Afya
    • Education Services
    • Water Services
    • Huduma za Kilimo
    • Livestock Keeping Services
    • Huduma za Uvuvi
    • Human Resources Services
    • Huduma za Leseni za Biashara
    • Land Services
    • Forest Services
  • Madiwani
  • Miradi
    • Uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za maombi
    • Zabuni
    • Miongozo
    • Hotuba
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Uhifadhi wa picha
    • Video
    • Habari
    • Matukio

KIASI CHA TSH.BILIONI 4.27 KUIMARISHA MAWASILIANO MKOANI SHINYANGA - MHE. NAPE.

Ilipo tumwa: July 21st, 2024

KIASI CHA TSH.BILIONI 4.27 KUIMARISHA MAWASILIANO MKOANI SHINYANGA - MHE. NAPE.

Na. Emmanuel Shomary,

Ushetu DC

WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Moses Nnauye (Mb) amesema kuwa Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa wote, imegharamia zaidi ya shilingi Bilioni 4 ambazo zitatumika kuimarisha mawasiliano mkoani Shinyanga kwa kujenga minara 30 katika Kata 29 zenye jumla ya vijiji 83, ambapo takribani wakazi 421, 259 watanufaika, huku akisisitiza matumizi sahihi na yenye faida na siyo vinginevyo.

Mhe. Nape ameyasema haya leo tarehe 19 Julai, 2024 wakati wa Wasilisho la Taasisi mbalimbali lililofanyika mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha katika ukumbi wa mikutano uliopo ofisi ya Mkuu wa mkoa, na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali, Taasisi, kampuni za simu na wadau wa mawasiliano mkoani shinyanga.

"Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha, Serikali imedhamiria kuhakikisha kuwa kila mwananchi anafikiwa na mawasiliano ya simu, ambapo kwa mkoa huu wa shinyanga Mfuko wa Mawasiliano kwa wote ikiwakilisha Serikali inayapatia makampuni ya simu kujenga minara 30 katika Kata 29 ambapo ndani yake kuna vijiji 83 na hivyo kuwanufaisha wakazi 421, 259 wa Mkoa wa Shinyanga, hili ni jambo kubwa sana na lenye kumpongeza Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuimarisha mawasiliano kwa Wanashinyanga," amesema Mhe. Nape.

Kwa upande wake RC Macha amempongeza sana Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuimarisha mawasiliano kwa Wanashinyanga na Tanzania kwa ujumla jambo ambalo linaimarisha ulinzi, kuongeza uchumi wetu.

Akiwa Shinyanga, Mhe. Nape amezindua mnara wa Kampuni ya Halotel uliojengwa katika Kata ya Busangwa ambapo Serikali imetoa fedha zake za ruzuku shilingi Mil. 145, na  ambapo wakazi zaidi ya 12,100 kutoka vijiji vya Mwanima, Mwajipungira, Pambe na Busangwa vyote vya Wilaya ya Kishapu watanufaika.

Kisha amemalizia kwa kukagua na kupongeza ujenzi mzuri na bora wa mnara wa Kampuni ya Honora uliopo Kata ya Bukomela, Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu wenye uwezo wa 2G, 3G, 4G na 5G ambao utawanufaisha wakazi wa vijiji vitano (5) ikiwa ni zaidi ya lengo la awali la vijiji viwili (2) na kuwafikia wakazi zaidi ya elfu ishirini.

Matangazo

  • Matokeo ya usajili wa Madereva. October 03, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • Tangazo la nafasi za Kazi

    May 30, 2025
  • RC MACHA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MAENDELEO YA MIRADI YA MWENGE HALMASHAURI YA WILAYA YA USHETU 2024/2025

    May 20, 2025
  • USHETU KUANZA KUTEKELEZA MRADI WA REA NGAZI YA VITONGOJI 151.

    May 08, 2025
  • Habari Picha: Watumishi wa Halmashauri ya Ushetu wakumbushwa kuhusu Maadili katika utumishi wa Umma

    May 07, 2025
  • Angalia yote

Video

Kilimo cha Korosho katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
Video

Viunganishi vya haraka

  • Kanuni za Utumishi wa Umma
  • Ufafanuzi wa Serikali juu ya Kukosekana kwa Mawasiliano ya simu katika Halmashauri
  • Facebook
  • Ramani ya Halmashauri

Viunganishi Mfanano

  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Ajira serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Halmashauri

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

    Anuani: S. L. P 50 Kahama

    Simu: 0759888848

    Simu ya kiganjani: 0759888848

    Barua pepe: ded@ushetudc.go.tz Tovuti www.ushetudc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati Miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu . Haki zote zimehifadhiwa