• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ushetu District Council
Ushetu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Maadili ya msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Strategic Plan
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Biashara na Fedha
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Takwimu,Mipango na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Land and Livestocks
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknoloji Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa ndani
    • Muundo wa halmashauri
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma
    • Bima ya Afya
    • Mitambo ya kutengenezea Barabara
    • Loan Services
    • Huduma za Afya
    • Education Services
    • Water Services
    • Huduma za Kilimo
    • Livestock Keeping Services
    • Huduma za Uvuvi
    • Human Resources Services
    • Huduma za Leseni za Biashara
    • Land Services
    • Forest Services
  • Madiwani
  • Miradi
    • Uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za maombi
    • Zabuni
    • Miongozo
    • Hotuba
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Uhifadhi wa picha
    • Video
    • Habari
    • Matukio

JAMII YASISITIZWA KUZINGATIA UNYONYESHAJI WA MAZIWA YA MAMA ILI KULINDA AFYA YA MWILI NA AKILI YA MTOTO.

Ilipo tumwa: August 9th, 2024



Na. Emmanuel Shomary,

Ushetu DC.


Jamii katika Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga, imetakiwa kuachana na imani potofu zinazochangia uwepo wa unyonyeshaji duni hali inayosababisha utapiamlo kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano.


Kauli hiyo imetolewa na mgeni rasmi ambaye ni diwani wa Kata ya Uyogo, Joseph Bundala akimuwakilisha Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Hadija Kabojela katika kilele cha Maadhimisho ya wiki ya Unyonyeshaji yaliyofanyika leo Agosti 7, 2024, ambapo amewataka wataalumu wa afya kuwasaidia wakina mama kwa kuendelea kutoa elimu ya umuhimu wa kunyonyesha watoto ili kuodokna na udumavu wa akili na mwili.


"Jukumu la kufanikisha unyonyeshaji unaofaa ni letu sote tukianza kwa kuacha imani potofu pamoja na kuweka mazingira yanayotoa usaidizi katika kipindi chote cha unyonyeshaji"  amesisitiza Bundala.


Awali, akisoma taarifa kwa mgeni rasmi, Afisa lishe wa Halmashauri ya Ushetu, bi. Hadija Nassibu, amesema katika tafiti walizozifanya hivi karibuni wamebaini kuwa kati ya watoto kumi ni watoto  wanne mpaka watano wanaonyonyeshwa ipasavyo na hii ni kutokana na uwepo wa imani potofu kwa baadhi ya jamii, na mtindo wa maisha.


"Kuna baadhi ya wanawake wanadai wanaponyonyesha maziwa yao hulala na kudondoka hasa wale wa chuchu saa sita lakini hapana, kinachochangia hayo ni maumbile ambayo wamewekwa na Mungu"  amesema Khadija.


Kwa upande wao, baadhi ya  akina mama wa Halmashauri ya Ushetu, wakizungumza baada ya maadhimisho hayo kwa nyakati tofauti, wamesema vijana wa siku hizi hawazingati taratibu za afya ya uzazi hali inayosababisha watoto kupata udumavu, kwa kutokunyonyeshwa kwa kipindi cha miaka miwili na pasipo kulishwa vyakula vya makundi yote pamoja na kuhofia madiliko ya miili yao.


Hata hivyo, kutokana na matokea ya utafiti wa afya ya uzazi yaliofanyika mwaka 2024 Kitaifa, imebainika kuwa watoto walionyonyeshwa maziwa ya mama pekee chini ya umri wa miezi sita ni asilimia 64, huku utafiti huo ukionyesha kuwa watoto walionyonyeshwa kwa miaka miwili ni asilimia 37%.

Matangazo

  • Matokeo ya usajili wa Madereva. October 03, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • USHETU KUANZA KUTEKELEZA MRADI WA REA NGAZI YA VITONGOJI 151.

    May 08, 2025
  • Habari Picha: Watumishi wa Halmashauri ya Ushetu wakumbushwa kuhusu Maadili katika utumishi wa Umma

    May 07, 2025
  • Tume ya Maadili kwa watumishi wa Umma wafanya kikao na watumishi wa makao makuu Halmashauri ya Ushetu

    May 05, 2025
  • Tangazo la uuzaji Viwanja vya Makazi na Viwanda vidogo.

    April 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Kilimo cha Korosho katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
Video

Viunganishi vya haraka

  • Kanuni za Utumishi wa Umma
  • Ufafanuzi wa Serikali juu ya Kukosekana kwa Mawasiliano ya simu katika Halmashauri
  • Facebook
  • Ramani ya Halmashauri

Viunganishi Mfanano

  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Ajira serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Halmashauri

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

    Anuani: S. L. P 50 Kahama

    Simu: 0759888848

    Simu ya kiganjani: 0759888848

    Barua pepe: ded@ushetudc.go.tz Tovuti www.ushetudc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati Miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu . Haki zote zimehifadhiwa