• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ushetu District Council
Ushetu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Maadili ya msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Strategic Plan
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Biashara na Fedha
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Takwimu,Mipango na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Land and Livestocks
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknoloji Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa ndani
    • Muundo wa halmashauri
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma
    • Bima ya Afya
    • Mitambo ya kutengenezea Barabara
    • Loan Services
    • Huduma za Afya
    • Education Services
    • Water Services
    • Huduma za Kilimo
    • Livestock Keeping Services
    • Huduma za Uvuvi
    • Human Resources Services
    • Huduma za Leseni za Biashara
    • Land Services
    • Forest Services
  • Madiwani
  • Miradi
    • Uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za maombi
    • Zabuni
    • Miongozo
    • Hotuba
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Uhifadhi wa picha
    • Video
    • Habari
    • Matukio

"ILI KUPUNGUZA UTORO MASHULENI, TUNAPASWA KUANZISHA MASHAMBA YA CHAKULA KWA AJILI YA CHAKULA CHA WANAFUNZI"-Mhe DOA.

Ilipo tumwa: March 13th, 2024

"ILI KUPUNGUZA UTORO MASHULENI, TUNAPASWA KUANZISHA MASHAMBA YA CHAKULA KWA AJILI YA CHAKULA CHA WANAFUNZI"-Mhe DOA.


Na. Ushetu DC, KAHAMA

        



Halmashauri ya Ushetu Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga, imetakiwa kuanzisha mashamba ya chakula kwa ajili ya chakula cha wanafunzi mashuleni ili kupunguza utoro pamoja na kuongeza ufaulu kutoka 80% kwa darasa la nne na 71% kwa darasa la saba na kuondokana na daraja D na E kwa wanafunzi.


Kauli hiyo imetolewa na mwenyekiti wa kamati ya Elimu, Afya na Maji Halimashauri ya Ushetu ambaye pia ni diwani wa kata ya Nyakende, mhe. Doa LIMBU katika kikao kazi cha tathimini ya mitihani ya shule za msingi, ambapo amesema kuna kila sababu ya kila shule katika Halmashauri hiyo kuanzisha mashamba ya shule kwa ajili ya chakula mashuleni ili kuongeza morari ya wanafunzi kufanya vizuri darasani.


Naye, Afisa Elimu Msingi wa Halmashauri ya Ushetu bi. Velena Ntulo, amesema kuhusu suala la chakula mashuleni, wazazi na walezi kupitia kamati za shule wanapaswa kushirikiana kwa pamoja na kuwajibika katika upatikaniji wa chakula mashuleni ili kutokomeza utoro mashuleni pamoja na kuongeza kiwango cha ufaulu.


Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Ushetu bi. Hadija KABOJELA, amewataka walimu wa shule hizo kushughulikia utoro kwa wanafunzi pamoja na kutokaa mbali na vituo vyao vya kazi ili kuendelea kuongeza ufaulu kutoka 80% hadi 100%.

Matangazo

  • Matokeo ya usajili wa Madereva. October 03, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • Tangazo la nafasi za Kazi

    May 30, 2025
  • RC MACHA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MAENDELEO YA MIRADI YA MWENGE HALMASHAURI YA WILAYA YA USHETU 2024/2025

    May 20, 2025
  • USHETU KUANZA KUTEKELEZA MRADI WA REA NGAZI YA VITONGOJI 151.

    May 08, 2025
  • Habari Picha: Watumishi wa Halmashauri ya Ushetu wakumbushwa kuhusu Maadili katika utumishi wa Umma

    May 07, 2025
  • Angalia yote

Video

Kilimo cha Korosho katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
Video

Viunganishi vya haraka

  • Kanuni za Utumishi wa Umma
  • Ufafanuzi wa Serikali juu ya Kukosekana kwa Mawasiliano ya simu katika Halmashauri
  • Facebook
  • Ramani ya Halmashauri

Viunganishi Mfanano

  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Ajira serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Halmashauri

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

    Anuani: S. L. P 50 Kahama

    Simu: 0759888848

    Simu ya kiganjani: 0759888848

    Barua pepe: ded@ushetudc.go.tz Tovuti www.ushetudc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati Miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu . Haki zote zimehifadhiwa