• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ushetu District Council
Ushetu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Maadili ya msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Strategic Plan
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Biashara na Fedha
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Takwimu,Mipango na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Land and Livestocks
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknoloji Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa ndani
    • Muundo wa halmashauri
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma
    • Bima ya Afya
    • Mitambo ya kutengenezea Barabara
    • Loan Services
    • Huduma za Afya
    • Education Services
    • Water Services
    • Huduma za Kilimo
    • Livestock Keeping Services
    • Huduma za Uvuvi
    • Human Resources Services
    • Huduma za Leseni za Biashara
    • Land Services
    • Forest Services
  • Madiwani
  • Miradi
    • Uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za maombi
    • Zabuni
    • Miongozo
    • Hotuba
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Uhifadhi wa picha
    • Video
    • Habari
    • Matukio

HALMASHAURI YA USHETU YAGAWA PIKIPIKI 44, KWA MAAFISA UGANI 38 NA WATENDAJIWA KATA 6.

Ilipo tumwa: March 2nd, 2023

HALMASHAURI YA USHETU YAGAWA PIKIPIKI 44, KWA MAAFISA UGANI 38 NA WATENDAJIWA KATA 6.

Pikipiki hizo zimegawiwa leo Machi 02, 2023 katika Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Ushetu.

Akizungumza katika zoezi hilo la ugawaji wa pikpiki hizo aina ya Boxer 150, zilizotolewa na Serikali Kuu, Kaimu Mkurugenzi ndugu Deusi Anthony Kakulima, amewataka Maafisa Ugani Pamoja na Watendaji walipewa pikipiki hizo, kuzitumia vizuri ili kuleta tija kama Serikali ilivyo kusudia kuwahudumia Wananchi wake.

“Nawaagiza kuwa makini na pikipiki hizo, na mzitumie kwa ajili ya kuwahudumia Wananchi, hakikisheni mnafika kwa wakulima na kutoa huduma na ushauri wa kitaalamu, ili Wakulima wetu wa Ushetu tuone wakinufaika na Kilimo”, Alisema ndugu Kakulima.



Katika hatua nyingine, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ushetu, Mhe. Gagi Lala Gagi, amewataka maafisa Ugani hao Pamoja na Watendaji wa Kata, kuzitunza na kuzijali pikipiki hizo, ili malengo ya kuwahudumia Wananchi yatimie.  “Ndugu zangu, naomba niwasihi sana, pikipiki hizo embu mzione kama ni pikipiki yako, uliyonunua kwa fedha zako mwenyewe, nawaomba mzitunze kwa uaminifu sana. Mjue Rais wetu Mama Samia anajali sana Wananchi wake, Angalia sasa alivyokuja na wazo la Kuwainua Wakulima kupitia ninyi, sasa hatutaki baada ya mwaka mmoja, Mama yetu Mpendwa Samia, aanze kuumiza kichwa tena kutafuta pesa kwa ajili ya pikipiki”. Alisema Mhe Gagi.

Nae mbuge wa Jimbo la Ushetu, Mhe. Emmanuel Cherehani, akiongea katika shughuli hiyo, amewataka Maafisa hao kuwa Wazalendo na wachapa kazi haswa, ili kilimo kiwe na tija kwa Wananchi wa Ushetu na Taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • Matokeo ya usajili wa Madereva. October 03, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • USHETU KUANZA KUTEKELEZA MRADI WA REA NGAZI YA VITONGOJI 151.

    May 08, 2025
  • Habari Picha: Watumishi wa Halmashauri ya Ushetu wakumbushwa kuhusu Maadili katika utumishi wa Umma

    May 07, 2025
  • Tume ya Maadili kwa watumishi wa Umma wafanya kikao na watumishi wa makao makuu Halmashauri ya Ushetu

    May 05, 2025
  • Tangazo la uuzaji Viwanja vya Makazi na Viwanda vidogo.

    April 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Kilimo cha Korosho katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
Video

Viunganishi vya haraka

  • Kanuni za Utumishi wa Umma
  • Ufafanuzi wa Serikali juu ya Kukosekana kwa Mawasiliano ya simu katika Halmashauri
  • Facebook
  • Ramani ya Halmashauri

Viunganishi Mfanano

  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Ajira serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Halmashauri

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

    Anuani: S. L. P 50 Kahama

    Simu: 0759888848

    Simu ya kiganjani: 0759888848

    Barua pepe: ded@ushetudc.go.tz Tovuti www.ushetudc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati Miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu . Haki zote zimehifadhiwa