• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ushetu District Council
Ushetu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Maadili ya msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Strategic Plan
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Biashara na Fedha
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Takwimu,Mipango na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Land and Livestocks
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknoloji Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa ndani
    • Muundo wa halmashauri
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma
    • Bima ya Afya
    • Mitambo ya kutengenezea Barabara
    • Loan Services
    • Huduma za Afya
    • Education Services
    • Water Services
    • Huduma za Kilimo
    • Livestock Keeping Services
    • Huduma za Uvuvi
    • Human Resources Services
    • Huduma za Leseni za Biashara
    • Land Services
    • Forest Services
  • Madiwani
  • Miradi
    • Uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za maombi
    • Zabuni
    • Miongozo
    • Hotuba
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Uhifadhi wa picha
    • Video
    • Habari
    • Matukio

HALMASHAURI YA USHETU YAGAWA MICHE 10,500 KWA TAASISI ZA UMMA NA WAKULIMA MBALIMBALI.

Ilipo tumwa: March 25th, 2024


KATIKA kuifanya Ushetu kuwa ya kijani, kama yalivyo malengo na Makusudio ya Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Bi. Hadija KABOJELA, Halmashauri hiyo imeanza kuyaishi makusudio hayo kwa vitendo, kwa kuotesha miche ya Mikorosho na Mipapai na kuigawa kwa taasisi za Umma zikiwemo shule za Msingi na Sekondari na wakulima mbalimbali wa Halmashauri ya Ushetu


Akizungumza wakati wa zoezi hilo la ugawaji wa miche hiyo, Bi. Kabojela alisema " Ndugu zangu nawaomba sana muitunze miche hiyo, tumewapeni Mikorosho ambayo pia ni zao la biashara, na ni moja ya ubunifu tunaoufanya na CMT yangu kama chanzo kipya cha mapato na pengine kuwa mbadala wa Tumbaku, hivyo niwaombe muone kama ni fursa pia ya kujiinua kiuchumi, na niwaombe sana miche hiyo muipande kwa kufuata maelekezo ya kitaalamu ili ilete tija kwetu sote hapo baadae" alisema Kabojela.


Aliendelea pia kusema, " Lakini hata Mipapai hii, ni miche ya kisasa kabisa na inaanza kuweka matunda baada ya miezi sita tu, tena inaweka matunda kwa wingi sana, niwaombe tuone hii kama fursa kwetu" alimaliza Bi. Kabojela.


Katika hatua nyingine, bwana Emmanuel Gaga (fundi sanifu kilimo) na  bwana Emmanuel Ngusa (Afisa Kilimo Mbogamboga, matunda na maua), ambao ndio wasimamizi na wazalishaji wa miche hiyo, wamemshukuru sana Mkurugenzi Bi. Kabojela kwa kufanikisha zoezi hilo ambalo pia ni endelevu kwa Halmashauri ya Ushetu.


Halmashauri ya Ushetu inajumla ya vitalu viwili, kimoja kipo Makao makuu ya Halmashauri Nyamilangano na kimezalisha jumla ya miche 10,500, ambapo Mikorosho ni miche 8,000 na mipapai 2,500.

Na Kitalu  kingine kipo Kata ya Mpunze Chenye miche ya Mikorosho 8,000.

Matangazo

  • Matokeo ya usajili wa Madereva. October 03, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • Tangazo la nafasi za Kazi

    May 30, 2025
  • RC MACHA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MAENDELEO YA MIRADI YA MWENGE HALMASHAURI YA WILAYA YA USHETU 2024/2025

    May 20, 2025
  • USHETU KUANZA KUTEKELEZA MRADI WA REA NGAZI YA VITONGOJI 151.

    May 08, 2025
  • Habari Picha: Watumishi wa Halmashauri ya Ushetu wakumbushwa kuhusu Maadili katika utumishi wa Umma

    May 07, 2025
  • Angalia yote

Video

Kilimo cha Korosho katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
Video

Viunganishi vya haraka

  • Kanuni za Utumishi wa Umma
  • Ufafanuzi wa Serikali juu ya Kukosekana kwa Mawasiliano ya simu katika Halmashauri
  • Facebook
  • Ramani ya Halmashauri

Viunganishi Mfanano

  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Ajira serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Halmashauri

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

    Anuani: S. L. P 50 Kahama

    Simu: 0759888848

    Simu ya kiganjani: 0759888848

    Barua pepe: ded@ushetudc.go.tz Tovuti www.ushetudc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati Miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu . Haki zote zimehifadhiwa