• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ushetu District Council
Ushetu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Maadili ya msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Strategic Plan
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Biashara na Fedha
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Takwimu,Mipango na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Land and Livestocks
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknoloji Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa ndani
    • Muundo wa halmashauri
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma
    • Bima ya Afya
    • Mitambo ya kutengenezea Barabara
    • Loan Services
    • Huduma za Afya
    • Education Services
    • Water Services
    • Huduma za Kilimo
    • Livestock Keeping Services
    • Huduma za Uvuvi
    • Human Resources Services
    • Huduma za Leseni za Biashara
    • Land Services
    • Forest Services
  • Madiwani
  • Miradi
    • Uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za maombi
    • Zabuni
    • Miongozo
    • Hotuba
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Uhifadhi wa picha
    • Video
    • Habari
    • Matukio

Bodi ya Afya ya Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu yazinduliwa.

Ilipo tumwa: July 11th, 2025

Ijumaa, 11 Julai, 2025.


Na Emmanuel Shomary

Ushetu DC.


Uzinduzi wa bodi ya Afya ya Wilaya, umefanyika rasmi leo tarehe 11 Julai, 2025, ikihudhuliwa na wajumbe wote akiwemo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Ushetu,  Bi. Hadija Kabojela pamoja na mgeni rasmi Bi. Glory Absalum ambaye ni kaimu Mkuu wa Wilaya ya Kahama.


Akitoa taarifa ya bodi ya Afya iliyomaliza muda wake, Katibu wa Afya Halmashauri ya Ushetu, bi Perpetua Ramadhani,  amesema bodi iliyomaliza muda wake ilizinduliwa tarehe 22 Disemba 2021, ikiwa na jumla ya wajumbe 11 ambao wamehudumu kwa kipindi cha miaka 3 na kutimiza majukumu yao vema kwa mujibu wa muongozo.


Kwa upande mwingine, bodi hiyo mpya, imemchagua ndg Sadiki Paulo Tanganyika kuwa mweyekiti wake na pia bi. Nyanzige Joseph Gohebu kuwa Katibu wa bodi hiyo.


Akizungumza katika kikao hicho, Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Ushetu,  Bi hadja Kabojela, amewapongeza wajumbe hao wa bodi na kuwahasa kutumia nafasi waliyonayo kuwa sehemu ya uboreshaji wa huduma za  Afya ndani ya Halmashauri ya Ushetu.


Katika hatua nyingine, mgeni rasmi Bi. Glory Absalum amewataka wajumbe hao kuwa sehemu ya utatuzi wa changamoto za huduma za afya, na sio kuuungana na Wananch kulalamikia huduma za afya, 'ndugu zangu, jamii imewapa dhamana ya kusimamia huduma za afya, hivyo tunategemea ninyi kuwa sehemu ya utatuzi wa changamoto za utoaji wa huduma hizo, na sio kuwa sehemu ya Wananchi wanaolalamikia huduma, Mwananchi akilalamikia huduma, kumbuka wewe ndio mtu wa kwanza kumsaidia' alisema Bi. Glory.


Kikao hicho kilitamatika majira ya saa 6 mchana na wajumbe walitakiana utekelezaji mwema wa majumu yaliyo mbele yao.

Matangazo

  • Matokeo ya usajili wa Madereva. October 03, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • Bodi ya Afya ya Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu yazinduliwa.

    July 11, 2025
  • Tangazo la nafasi za Kazi

    May 30, 2025
  • RC MACHA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MAENDELEO YA MIRADI YA MWENGE HALMASHAURI YA WILAYA YA USHETU 2024/2025

    May 20, 2025
  • USHETU KUANZA KUTEKELEZA MRADI WA REA NGAZI YA VITONGOJI 151.

    May 08, 2025
  • Angalia yote

Video

Kilimo cha Korosho katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
Video

Viunganishi vya haraka

  • Kanuni za Utumishi wa Umma
  • Ufafanuzi wa Serikali juu ya Kukosekana kwa Mawasiliano ya simu katika Halmashauri
  • Facebook
  • Ramani ya Halmashauri

Viunganishi Mfanano

  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Ajira serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Halmashauri

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

    Anuani: S. L. P 50 Kahama

    Simu: 0759888848

    Simu ya kiganjani: 0759888848

    Barua pepe: ded@ushetudc.go.tz Tovuti www.ushetudc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati Miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu . Haki zote zimehifadhiwa