• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ushetu District Council
Ushetu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Maadili ya msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Strategic Plan
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Biashara na Fedha
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Takwimu,Mipango na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Land and Livestocks
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknoloji Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa ndani
    • Muundo wa halmashauri
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma
    • Bima ya Afya
    • Mitambo ya kutengenezea Barabara
    • Loan Services
    • Huduma za Afya
    • Education Services
    • Water Services
    • Huduma za Kilimo
    • Livestock Keeping Services
    • Huduma za Uvuvi
    • Human Resources Services
    • Huduma za Leseni za Biashara
    • Land Services
    • Forest Services
  • Madiwani
  • Miradi
    • Uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za maombi
    • Zabuni
    • Miongozo
    • Hotuba
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Uhifadhi wa picha
    • Video
    • Habari
    • Matukio

Baraza la Madiwani Ushetu lapitisha Makadirio ya mwaka wa fedha 2024/2025.

Ilipo tumwa: February 2nd, 2024

Ushetu Kahama

Na Ushetu DC

01/02/2024

Kuelekea makadirio ya bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025 baraza la Madiwani Halmashauri ya Ushetu Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga, limeidhinisha matumizi ya bajeti ya mwaka wa fedha 2023/2024 kupitia kikao barazahilo chenye agenda ya kuidhinisha makadirio ya budget mpya.

Awali akitoa taarifa kwenye baraza hilo, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Bi. Khadija Kabojela amesema taarifa hiyo imepitia michakato yote kwa kuzingatia mapato na matumizi yam waka husika wa fedha.

"Mh Mwenyekiti na Baraza lote kwa ujumla, taarifa hii tumezingatia mapato na matumizi kwa kipindi chote mpaka leo tunaileta hapa kwenye kikao hicho cha baraza" Alisema Bi. Khadija

Akisoma taarifa ya matumizi ya bajeti hiyo Afisa Mipango wa Halmashauri ya Ushetu, Ndugu Shigela Kubeja Ganja amezitaja baadhi ya Idara ambazo Miradi ya maendeleo imetekelezwa.

"Halmashauri Kwa mwaka wa fedha 2023/2024 Miradi imetekelezwa kwenye sekta ya Afya, Kilimo, Elimu, Utawala na kulipa mishahala kwa watumishi" Alisema Ganja.

Katika hatua nyingine, Diwani wa kata ya Kinamapula, Mhe. Samweli Adriano amekishauri Kitengo cha fedha kuendelea kubuni njia za kuongeza mapato ya ndani ili kuchochea maendeleo zaidi.

"Mh Mwenyekiti mapitio ya bajeti yetu yako sawa, tunamuomba tu Mkurugenzi na Ofisi yake ya Fedha na Mipango waongezee bidii ya makusanyo ya ndani"  Alisema Adriano.

Kikao hicho cha baraza kitaendelea tena siku ya pili kesho tarehe 02/02/2024, ikiwa ni mwendelezo wa baraza hilo la siku 2.

Matangazo

  • Matokeo ya usajili wa Madereva. October 03, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • Tangazo la nafasi za Kazi

    May 30, 2025
  • RC MACHA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MAENDELEO YA MIRADI YA MWENGE HALMASHAURI YA WILAYA YA USHETU 2024/2025

    May 20, 2025
  • USHETU KUANZA KUTEKELEZA MRADI WA REA NGAZI YA VITONGOJI 151.

    May 08, 2025
  • Habari Picha: Watumishi wa Halmashauri ya Ushetu wakumbushwa kuhusu Maadili katika utumishi wa Umma

    May 07, 2025
  • Angalia yote

Video

Kilimo cha Korosho katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
Video

Viunganishi vya haraka

  • Kanuni za Utumishi wa Umma
  • Ufafanuzi wa Serikali juu ya Kukosekana kwa Mawasiliano ya simu katika Halmashauri
  • Facebook
  • Ramani ya Halmashauri

Viunganishi Mfanano

  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Ajira serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Halmashauri

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

    Anuani: S. L. P 50 Kahama

    Simu: 0759888848

    Simu ya kiganjani: 0759888848

    Barua pepe: ded@ushetudc.go.tz Tovuti www.ushetudc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati Miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu . Haki zote zimehifadhiwa