• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ushetu District Council
Ushetu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Maadili ya msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Strategic Plan
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Biashara na Fedha
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Takwimu,Mipango na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Land and Livestocks
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknoloji Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa ndani
    • Muundo wa halmashauri
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma
    • Bima ya Afya
    • Mitambo ya kutengenezea Barabara
    • Loan Services
    • Huduma za Afya
    • Education Services
    • Water Services
    • Huduma za Kilimo
    • Livestock Keeping Services
    • Huduma za Uvuvi
    • Human Resources Services
    • Huduma za Leseni za Biashara
    • Land Services
    • Forest Services
  • Madiwani
  • Miradi
    • Uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za maombi
    • Zabuni
    • Miongozo
    • Hotuba
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Uhifadhi wa picha
    • Video
    • Habari
    • Matukio

SERIKALI KUIMARISHA MAWASILIANO YA SIMU USHETU.

Ilipo tumwa: July 22nd, 2024

SERIKALI KUIMARISHA MAWASILIANO YA SIMU USHETU.

Na. Emmanuel Shomary,

Ushetu DC,

20 Julai, 2024.

USHETU, ⁷Kahama-Shinyanga.

SERIKALI imesema itaendelea kuboresha huduma za Mawasiliano hasa katika maeneo ya vijijini ili kufungua njia za Mawasiliono ya Simu pamoja na kuchochea shughuli za maendeleo kwa Wananchi.

Kauli hiyo imetolewa leo tarehe Julai 19, 2024, na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Moses Nauye (MB), alipotembelea kiijiji cha Ngokolo kilichopo Kata ya Bukomela Halmashauri ya Ushetu Mkoani Shinyanga, wakati akikagua ujenzi wa Mnara wa Mawasiliano ya simu, ambapo amesema kuwa Serikali ipo kazini kuhakikisha Wananchi wanakuwa na mazingira bora ya mawasiliano.

Awali, Mbunge wa Ushetu Emmanuel Cherehani, amepongeza jitihada za Serikali kwa kuipatia Halmashauri hiyo kujengewa minara ya mawasiliano 7, ambapo minara 4 kati ya hiyo imekamilika huku akiomba Serikali kuongeza mingine ili kuwafikia Wananchi wa maeneo yote ya Ushetu.

Aidha, wananchi wa Kata ya Bukomela kwa nyakati tofauti wakizungumza, wameishukuru Serikali kupitia mfuko wa Mawasiliano kwa wote (UCSAF)kwa kujengewa minara hiyo ambapo awali walikuwa wakitembea umbali mrefu kutafuta wasiliano kwa kupanda milimani kwenye mawe na wengine juu ya miti.

Serikali imeendelea kushirikianna na Sekta binafsi za Mawasiliano kwa kutoa ruzuku katika ujenzi wa minara ya mawasiliano kupitia mfuko wa mawasiliano kwa wote.

Matangazo

  • Matokeo ya usajili wa Madereva. October 03, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • TAKUKURU – KAHAMA: USHIRIKISHWAJI WA MAKUNDI MBALIMBALI

    August 21, 2025
  • TAKUKURU Wilaya ya Kahama watoa elimu ya Mafunzo juu ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa kwa watumishi wa Afya wa Hospitali ya Wilaya ya Ushetu.

    August 12, 2025
  • TAKUKURU Wilayani Kahama yawafunda watumishi wa Idara ya Afya Kituo cha Afya Bulungwa.

    August 15, 2025
  • Kikao cha maelekezo ya Uandaaji na usimamizi wa mikataba ya vikundi vya Wanawake, Vijana na Walemavu kuhusu Mikopo ya asilimia 10 cha fanyika Ushetu.

    August 18, 2025
  • Angalia yote

Video

Kilimo cha Korosho katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
Video

Viunganishi vya haraka

  • Kanuni za Utumishi wa Umma
  • Ufafanuzi wa Serikali juu ya Kukosekana kwa Mawasiliano ya simu katika Halmashauri
  • Facebook
  • Ramani ya Halmashauri

Viunganishi Mfanano

  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Ajira serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Halmashauri

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

    Anuani: S. L. P 50 Kahama

    Simu: 0767639345

    Simu ya kiganjani: 0767639345

    Barua pepe: ded@ushetudc.go.tz Tovuti www.ushetudc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati Miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu . Haki zote zimehifadhiwa