• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ushetu District Council
Ushetu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Maadili ya msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Strategic Plan
  • Utawala
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Biashara na Fedha
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Takwimu,Mipango na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Land and Livestocks
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknoloji Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa ndani
    • Muundo wa halmashauri
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma
    • Bima ya Afya
    • Mitambo ya kutengenezea Barabara
    • Loan Services
    • Huduma za Afya
    • Education Services
    • Water Services
    • Huduma za Kilimo
    • Livestock Keeping Services
    • Huduma za Uvuvi
    • Human Resources Services
    • Huduma za Leseni za Biashara
    • Land Services
    • Forest Services
  • Madiwani
  • Miradi
    • Uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za maombi
    • Zabuni
    • Miongozo
    • Hotuba
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Uhifadhi wa picha
    • Video
    • Habari
    • Matukio

"NIWATAKE WANAWAKE WENZANGU NA JAMII YOTE MKOA WA SHINYANGA KUPINGA UKATILI KWA VITENDO" - RC MNDEME

Ilipo tumwa: March 10th, 2024

"NIWATAKE WANAWAKE WENZANGU NA JAMII YOTE MKOA WA SHINYANGA KUPINGA UKATILI KWA VITENDO" - RC MNDEME


Na. Ushetu DC.


MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme amewataka wanawake wote na jamii kwa ujumla kuendelea kupinga, kukemea na kupambana dhidi ya ukatili wa kijinsia katika maeneo wanayoishi au kufanyia shughuli zao, kwa kuwa tatizo hili bado lipo miongoni mwa jamii zinazotuzunguka.


RC Mndeme ameyasema hayo leo tarehe 8 Machi, 2024 wakati akihutubia katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, sherehe iliyofanyika katika viwanja vya Sabasaba Manispaa ya Shinyanga ambapo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali, vikundi vya wanawake, viomgozi wa Vyama na Dini huku akisisitiza kuwa jitihada za kuondoa ukatili huu zinapaswa kuanza na jamii yenyewe.


"Tunapoadhimisha Siku hii ya Wanawake Duniani, niwatake sote kwa pamoja kuendelea kupinga, kukemea na kupambana dhidi ya ukatili wa kijinsia ambao bado upo miongoni mwetu na jamii zinazotuzunguuka, kwa kuwa juhudi hizi tunapaswa kuanza nazo sisi wenyewe, ukizingatia wanaotenda haya matukio tunaishi nao," amesema RC Mndeme..


Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita amesema kuwa, Wanawake wanaposherehekea siku ya leo, pamoja na mambo mengine lakini pia wanao wajibu wa kumsemea mema na mazuri yote anayoyafanya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kuwa ameendelea kuwatumikia vema Watanzania na kuwaletea maendeleo ya kweli.


Kando ya hayo, RC Mndeme amepokea zawadi na misaada mbalimbali kutoka kwa wadau wakiwemo Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga, Wakurugenzi wa Halmashauri na Taasisi, Vikundi , Shirika lisilo la Kiserikali, YAWE, Life Water International,  Rafiki SDO,TCRS, ADD International na ICS.

Matangazo

  • Matokeo ya usajili wa Madereva. October 03, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 22, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • Bodi ya Afya ya Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu yazinduliwa.

    July 11, 2025
  • Tangazo la nafasi za Kazi

    May 30, 2025
  • RC MACHA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MAENDELEO YA MIRADI YA MWENGE HALMASHAURI YA WILAYA YA USHETU 2024/2025

    May 20, 2025
  • USHETU KUANZA KUTEKELEZA MRADI WA REA NGAZI YA VITONGOJI 151.

    May 08, 2025
  • Angalia yote

Video

Kilimo cha Korosho katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
Video

Viunganishi vya haraka

  • Kanuni za Utumishi wa Umma
  • Ufafanuzi wa Serikali juu ya Kukosekana kwa Mawasiliano ya simu katika Halmashauri
  • Facebook
  • Ramani ya Halmashauri

Viunganishi Mfanano

  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Ajira serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Halmashauri

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu

    Anuani: S. L. P 50 Kahama

    Simu: 0759888848

    Simu ya kiganjani: 0759888848

    Barua pepe: ded@ushetudc.go.tz Tovuti www.ushetudc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati Miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu . Haki zote zimehifadhiwa