Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu, anayofuraha kuwatangazia nafasi za kazi Watanzania wote wenye sifa za kuajiliwa katika Utumishi wa Umma.
Nafasi hizo ni Mtendaji wa Kijiji daraja la III- nafasi 12, Dereva daja la II- nafasi 02, na Katibu Muhtasi daraja la III- nafasi 02.
Kwa maelezo zaidi, bofya hapa https://www.ushetudc.go.tz/storage/app/uploads/public/629/875/3f3/6298753f35c63219398330.pdf
Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
Anuani: S. L. P 50 Kahama
Simu: 0759888848
Simu ya kiganjani: 0759888848
Barua pepe: ded@ushetudc.go.tz Tovuti www.ushetudc.go.tz
Hati Miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu . Haki zote zimehifadhiwa